Skip to main content
Skip to main content

Majibizano makali yachacha kati ya waziri Duale na mbunge Kibagendi kuhusu bima ya afya ya SHA

  • | Citizen TV
    12,114 views
    Duration: 3:13
    Majibizano makali yameshuhudiwa kati ya waziri wa afya Aden Duale na mbunge wa Kitutu chache Anthony Kibagendi wakati wa kikao cha kamati ya afya iliyokuwa ikijadili Bima ya afya ya SHA. Mzozo huo ulinza baada ya baadhi ya wabunge kutofautiana na Waziri Duale kuhusu mapendekezo ya utendakazi wa SHA