Majimbo mengi zaidi yafanya uchaguzi wa awali siku ya Super Tuesday
Majimbo mengi zaidi yatafanya uchaguzi wa awali, Machi 5, kuliko siku yoyote nyingine katika kipindi cha uchaguzi huu. Ndio maana inaitwa Super Tuesday.
Majimbo kumi na tano na mkoa mmoja utapiga kura siku ya Super Tuesday mwaka huu. Huko Iowa, matokeo ya uchaguzi wa awali wa Wademokratiki utatangazwa.
Inahitajika wajumbe waliochukua ahadi 1,968 – asilimia 50 ya wajumbe wote – kushinda uteuzi wa mgombea urais wa Chama cha Demokratiki.
Inahitajika wajumbe 1,215 – asilimia 50 ya wajumbe wote – kushinda uteuzi wa mgombea urais wa Chama cha Republikan.
Msemo Super Tuesday haukuanza kujitokeza hadi mwaka 1976.
Bill Clinton alipata uungwaji mkono kutokana na ukakamavu wake wa kujitokeza siku ya Super Tuesday mwaka 1992 katika safari yake kuelekea White House.
#supertuesday #uchaguzimkuu #marekani #majimbo #iowa #uchaguziwaawali #voa #voaswahili
3 May 2024
- Raila issued the ultimatum during a food distribution event in Embakasi South, Nairobi.
3 May 2024
- The ministers also set timelines for the development of the mega project.
3 May 2024
- Kenya Met noted that selected areas were projected to receive very heavy rainfall, between 50- 80 mm levels in the course of the evening.
3 May 2024
- First Lady Rachel Ruto has distributed food and household items to 203 families, totalling 1,131 individuals, affected by flooding in Thika West, Kiambu County.
3 May 2024
- President William Ruto has directed the Ministry of Education to postpone the school opening date following the crisis occasioned by the ongoing heavy rains.
3 May 2024
- Raila issued the ultimatum during a food distribution event in Embakasi South, Nairobi.
3 May 2024
- The ministers also set timelines for the development of the mega project.
3 May 2024
- The run last year raised enough money to support 22 needy medical students.
3 May 2024
- In a joint Communique on Friday, the Ministers welcomed the commitments of Partner States to commence construction of Naivasha-Kisumu-Malaba, Malaba-Kampala and Kampala- Bihanga-Kasese-Mpondwe leading into DRC.
3 May 2024
- Interior ministry said the government has made specific interventions to meet their essential food supplies
3 May 2024
- EAC CS Peninah Malonzo received the food and non-food items at JKIA.
3 May 2024
- Tononoka Children's Court’s Principal Magistrate Nelly Chepchirchir is set to fix mention date.
3 May 2024
- The Ministry of Education has announced the opening of schools to remain on Monday even as floods continue to wreak havoc across the country.