- 13 views
Wakimbizi wa ndani kwa ndani ambao waliondoka nyumbani kwao katika wadi ya Saimo Soi, eneo bunge la Baringo Kazkazini kutokana na ukosefu wa usalama sasa wametoa wito wa kupewa misaada ya kibinadamu ili waweze kukabiliana na kusambaa kwa maradhi kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini. Masaibu yao yalitokana na mashambulizi ya majangili katika maeneo mbalimbali katika kaunti ya Baringo ambayo kufikia sasa yamesababisha vifo vya watu 17.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Makali Ya Mvua: Wakazi Baringo Kaskazini wahitaji msaada wa dharura
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - UDA National Executive Committee deletes provision for three deputy leaders.
- 4 May 2024 - The tree was a major tourist attraction.
- 4 May 2024 - Medics walk out of meeting after refusing to sign the return to work formula.
- 4 May 2024 - Heavy rains battering Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul have killed 31 people, local authorities said on Friday, and the death toll is expected to rise as dozens still have not been accounted for.
- 4 May 2024 - At least nine people, including seven children, were killed on Friday in a strike at a displacement camp in the eastern Congolese city of Goma, a local official and a military spokesman said.
- 4 May 2024 - Confusion in Kenya Kwanza ranks worrying
- 4 May 2024 - Big challenge of our democracy is not longer terms for leaders
- 4 May 2024 - Floods are the world's wake-up call to craft proactive responses
- 4 May 2024 - Coast braces for strong winds and powerful waves
- 4 May 2024 - Ruto snubs Machogu, postpones reopening of schools