Makampuni kenya yatumia Akili Mnemba kuzalisha matangazo

  • | VOA Swahili
    64 views
    Makampuni ya Kenya, yanayokabiliwa na changamoto, yanageukia akili mnemba yaani artificial intelligence AI ili kupunguza gharama za uzalishaji na matangazo. Ambazo zinasababisha wasi wasi miongoni mwa wasanii na mashirika ya matangazo, ambayo yanakhofia kupungua kwa mapato na hasara ya ajira kama AI inaweza kuchukua kazi ambazo wamekuwa waikizifanya siku zote. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.