Makorongo makubwa: Janga la kimataifa linaloangamiza miji
Mmomonyoko wa udongo ni aina ya uharibifu wa udongo unaosababishwa na maji, ambao wataalam wameiambia BBC unakua kwa kasi ya kutisha.
Inaweza kusababisha makorongo makubwa bila tahadhari yeyote- na wakati mwingine husababisha madhara mabaya.
Miji ya Amerika Kusini hadi Afrika imeharibiwa na jamii kuathirika.
Wanasayansi wanasema ingawa mmomonyoko wa udongo ni mchakato wa asili ambao hutokea baada ya muda, kwa sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la makorongo haya.
Kasi hii inatokana na shughuli zinazofanywa na binadamu: ukataji miti, miundombinu duni katika miji na hali mbaya ya hewa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.
#bbcswahili #mabadilikotabianchi #haliyahewa
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
17 Apr 2025
- The senator claims that parliament should take immediate action against the individual.
17 Apr 2025
- Once completed, the highway will ease the movement of people and goods between Kenya and neighbouring nations.
17 Apr 2025
- Three systems are expected to be unavailable during this period.
18 Apr 2025
- Russia said on Thursday it would treat Ukrainian strikes on transport infrastructure using German Taurus long-range missiles as "direct participation" in the conflict by Berlin.
18 Apr 2025
- Femicide: The most telling response wasn't her apology, but the men who rushed to declare her perfect for the job.
18 Apr 2025
- Terror suspects linked to Chinese kidnap plot denied bail
18 Apr 2025
- Sakaja puts off 'Battle of Choirs' Easter show amid financing fears
18 Apr 2025
- Inside diplomat long search for Sh95m elusive gold
18 Apr 2025
- The untold story of Kenya's most formidable female politicians and their fight against negotiated democracy.
18 Apr 2025
- Ochieng had reportedly received a phone call on Wednesday evening from a person claiming to be selling a cow whose leg had been broken while grazing.
18 Apr 2025
- There is even talk of impeaching the county boss for 'gross misconduct'.
18 Apr 2025
- Despite the financial strain, Kenyans have shown little sign of fatigue in their giving trends.
18 Apr 2025
- A committee has been formed to probe all hospitals offering kidney transplant services in Kenya.