- 99 viewsDuration: 2:24Jamii ya Mbukoni, eneo la Mutituni kaunti ya Machakos, imefurahia uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa maktaba ya kisasa almaarufu Smart Library. Maktaba hiyo itakuwa na kompyuta na vifaa vya kidijitali ili kuondoa pengo lililopo katika masomo ya kiteknolojia.