- 127 viewsNchini Malawi, visa 35,000 vya utoaji mimba wa mitaani, viliripotiwa mwaka 2022 na 2023, kulingana na Wizara ya Afya ya taifa hilo la Kusini mwa Afrika. Taratibu hizo zisizo salama, ni kati ya sababu zilizopelekea ongezeko la uungaji mkono, wa haki za utoaji mimba, katika miaka ya hivi karibuni. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Malawi yaripoti visa 35,000 vya utoaji mimba mitaani | VOA Swahili
- 29 Apr 2024 - African leaders on Monday called for rich countries to commit record contributions to a low-interest World Bank facility for developing nations that they rely on to help fund their development and combat climate change.
- 29 Apr 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja now says that his administration will give priority to residents of Nairobi City Council (Kanjo) estates when the affordable houses are ready.
- 29 Apr 2024 - Embattled Bomas of Kenya CEO Peter Gitaa has pleaded not guilty to eight counts of failure to comply with procurement laws.
- 29 Apr 2024 - Motorists plying the Mai Mahiu-Suswa/Narok highway and the Mai Mahiu - Naivasha road have been advised to look for alternative routes after debris was swept into the roads following Sunday night's heavy downpour.
- 29 Apr 2024 - Mathare Member of Parliament (MP) Anthony Oluoch urged President William Ruto to address the flood situation in the country and declare it a national disaster.
- 29 Apr 2024 - South Africa marked 30 years since the end of apartheid and the birth of its democracy with a ceremony in the capital Saturday that included a 21-gun salute and the waving of the nation's multicolored flag.
- 29 Apr 2024 - Vehicles in different parts of Kamuchiri village were swept away before getting stuck in the debris
- 29 Apr 2024 - Mwaura said the number of casualties could be higher as it does not include the Mai Mahiu tragedy.
- 29 Apr 2024 - Governor Sakaja Johnson Monday convened a meeting with Nairobi City County leadership at City Hall, addressing the devastating impact of the ongoing heavy rains on various areas. The leadership among other matters discussed urgent infrastructural and…
- 29 Apr 2024 - Twenty people have been confirmed dead after heavy flashfloods wiped out several homes in Kamuchiri Village Mai Mahiu, Nakuru County.