Malori yaliobeba msaada yakisubiri katika mpaka wa Misri na Israel
Magari, yanayoelezewa ni malori yaliobeba misaada ya Taasisi ya Sinai ya Haki za Binadamu, yalionekana yamejipanga mstari katika mpaka wa Misri na Israel karibu na kivuko cha mpakani cha Nitzana katika kanda ya video iliyosambazwa katika mitandao yao ya kijamii Jumatatu (Februari 12).
Shirika la Habari la Reuters liliweza kuthibitisha eneo hilo ni karibu na kivuko cha mpakani cha Nitzana huko Misri. Sehemu za majumba, bara na magorofa zinalingana na picha za satellite za eneo hilo. Reuters haikuweza yenyewe kuthibitisha tarehe ambayo kanda hiyo ya video ilichukuliwa.
Israel imekanusha kuzuia msaada, wakati Misri huko siku za nyuma ilisema kuwa “vikwazo vya Israeli” ikwemo utaratibu wa kuyakagua malori yalikuwa yanachelewesha ufikishaji wa misaada kwa haraka ndani ya Ukanda wa Gaza.
Shambulizi la Israel dhidi ya Hamas limewaacha zaidi ya watu milioni 2.3 huko Gaza bila makazi na wanakabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula, maji, madawa na mafuta.
Mashambulizi haya yalianza Oktoba 7 kufuatia mauaji ya Oktoba 7 huko kusini mwa Israel, yaliofanywa na wanamgambo kutoka Gaza waliouwa takriban watu 1,200 na kuwateka watu 250. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran
5 Jul 2025
- ODM was responding to The Standard Media's 'Raila's Turf Rebels' article.
5 Jul 2025
- The closure is set to affect major transport activities in the heart of Kenya's capital.
5 Jul 2025
- The incident happened on Friday evening, causing tension.
5 Jul 2025
- The Orange Democratic Movement (ODM) has slammed media reports which claimed that the party leader, Raila Odinga, is losing popularity in his backyard of Nyanza due to the events that unfolded during the burial of late teacher Albert Ojwang' at Kakoth…
5 Jul 2025
- The Judicial Service Commission (JSC) has strongly condemned what it terms as excessive use of force by police officers during the re-arrest of youth politician Peter Kinyanjui, alias Kawanjiru within the Ruiru Law Courts, saying the actions undermine…
5 Jul 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
5 Jul 2025
- Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
5 Jul 2025
- Chinese firm tasked with managing the road, has filed at least 65 cases to recover the money it spends on repairing damage from accidents.
5 Jul 2025
- Democracy ensures the 'right people' get the mandate to instill fear in us. This fear should be moderated by justice. That is the work of the government and its institutions.
5 Jul 2025
- National chair Gladys Wanga reaffirmed Raila’s status as a towering national figure.
5 Jul 2025
- “The church serves the 1,000+ government staff and their families who live in State House.” Ndii said.
5 Jul 2025
- The suspects are currently in custody and will be arraigned once investigations are completed.
5 Jul 2025
- They will join other reporters from around the world after passing rigorous recruitment processes.