- 2,526 viewsDuration: 1:44Mama ya mwanafunzi mmoja wa kidato cha nne katika Shule ya Upili ya Ilmashariani mjini Narok analilia haki baada ya jaribio la ubakaji kutibuka eneo la ‘Father Ntaaiya’ viungani mwa mji wa Narok lilomwacha mwanawe na majeraha.