- 4 views
Mamia ya wakazi wa eeno la Bunyala kaunti ya Busia wamepata afueni baada ya kupokea hatimiliki za ardhi kutoka kwa tume ta taifa la ardhi. Hatua hiyo inafuatia agizo la rais William Ruto wakati wa ziara yake katika eneo hilo wiki iliyopita kwamba wamiliki halali wa ardhi wapatiwe hatimiliki. Kwa mujibu wa msajili wa ardhi katika kaunti ya Busia Lamu Violet, utoaji wa stakabadhi hizo ni mafanikio makubwa kwa wakazi wa Bunyala. Kufikia sasa hatimiliki-300 zimetolewa kwa wamiliki halisi wa ardhi licha ya kuwepo kwa mizozo ya kifamilia kuhusu umiliki wa ardhi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mamia wapokezwa hatimiliki Bunyala, Busia
- 1 Jul 2025 - Kenya and the United Kingdom have renewed their strategic partnership, setting the momentum for more bilateral trade and investment.
- 1 Jul 2025 - Nairobi City County has recorded its highest revenue collection since the onset of devolution, hitting KSh 13.7 billion for the 2024/2025 financial year.
- 1 Jul 2025 - Members of Parliament are moving swiftly to enact a law aimed at shielding themselves and other institutions from future public demonstrations.
- - Court bars ICT Authority Board from sacking CEO Stanley Kamanguya
- 1 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has dared President William Ruto to arrest him or deny him freedom of movement in and outside the country.
- 1 Jul 2025 - The High Court has ordered the Director of Criminal Investigations (DCI), Mohammed Amin, to personally appear in court on Thursday, July 3, to explain the whereabouts of missing blogger Ndiang'ui Kinyagia.
- 1 Jul 2025 - Kajiado sets UHC milestone with SHA registrations
- 1 Jul 2025 - A study has highlighted the devastating effects of Trump's fund cuts.
- 1 Jul 2025 - The girl is said to have been injured during the fracas that erupted on Tuesday.
- 1 Jul 2025 - KNUT SG Collins Oyuu expressed concern over what he described as a slow response from the TSC