- 1,117 views
Wazee wa Jamii ya Wasamburu wameonya wanaohusika kwenye uhalifu kuwa watakabiliwa vikali kisheria. Mamia ya wazee waliokutana eneo la Ndikirr Olngwesi, Samburu ya kati waliwaonya wahalifu haswa wanaotekeleza wizi wa mifugo. Visa vya uhalifu zimeripotiwa kuongezeka katika maeneo mengi kaunti ya Samburu, hali iliyowaacha wakazi kuishi kwa hofu. Wazee hawa wameilaumu serikali kwa kulegeza kamba, huku chifu wa Lulu Christine Leleshep akiahidi ushirikiano kuhakikisha usalama maeneo hayo
Mamia ya wazee waonya wanaovuruga usalama Samburu
- - Duniani Leo ››
- - LIVE: Upeo Wa TV47 ››
- - LIVE: TV47 News Now ››
- - Duniani Leo ››
- 29 Mar 2024 - Two people died while two others sustained injuries following an accident that involved two private vehicles at Rakwaro area on Rongo-Awendo highway in Migori County
- 29 Mar 2024 - Happiness levels in Kenya have dropped for the first time in five years.
- 29 Mar 2024 - Pope Francis, who often pleads for compassion to prisoners, washed the feet of 12 incarcerated women in Rome on Thursday in a rite marking Holy Thursday before Easter.
- 29 Mar 2024 - There are plans to foster collaboration among State agencies, local authorities and community leaders.
- 29 Mar 2024 - Their mother, Lusila Wairu Waweru, died in October, 2015.
- 29 Mar 2024 - The unique loan is gaining traction and attracting interest from several countries including African states.
- 29 Mar 2024 - My dating affirmation is: Men with money are flooding at my gates
- 29 Mar 2024 - The letter also highlighted that officials in key corporations had been investigated for graft.
- 29 Mar 2024 - A string of sexual assault allegations have been made against Sean "Diddy" Combs.
- 29 Mar 2024 - Mudavadi puts civil servants on notice over wastage of resources