- 146 viewsMamilioni ya vijana nchini Zambia wanapambana kupata kazi baada ya kuhitimu na wanaendelea kuwategemea wazazi wao kujikimu. Asilimia 82 ya idadi ya watu nchini humo ni chini ya umri wa miaka 35, kulingana na Umoja wa Mataifa. Mwaka 2018, kiwango cha ukosefu wa ajira nchini Zambia kati ya vijana kiliripotiwa rasmi ni asilimia 41. Wahitimu watatu kutoka mji mkuu wa Lusaka, wanaelezea changamoto za kutafuta kazi kwa Kathy Short #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mamilioni ya vijana Zambia wanahangaika kutafuta ajira
- 27 Jul 2024 - Team Kenya, led by Malkia strikers captain Triza Atuka and African fastest man in 100m Ferdinand Omanyala, was among the over 200 countries which paraded across River Seine during the opening ceremony of the 33rd Olympic Games held on Friday night along…
- 27 Jul 2024 - The fate of investigations into the death of Rex Masai, who was allegedly felled by police bullets during the Anti-Finance Bill protests, remains uncertain after a key witness backed out of the case.
- 27 Jul 2024 - Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction
- 27 Jul 2024 - Azimio leaders accused of plotting coup against Raila Odinga
- 27 Jul 2024 - Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
- 27 Jul 2024 - My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial
- 27 Jul 2024 - A 90-year-old man from Kilifi has been sentenced to 30 years in prison for defiling his 6-year-old stepdaughter. Kea Katana Mdudu is said to have committed the crime on July 16, 2019, in Mwaeba Pangani village, Tsangalaweni, Ganze Sub County, Kilifi…
- 27 Jul 2024 - Governor Wavinya Ndeti has announced Ksh80 million table banking fund at the grand launch of the women-only, Makima Tithers Sacco. The event, aimed at empowering women economically, saw enthusiastic participation from local women entrepreneurs and…
- 27 Jul 2024 - Kenya crashed out of the medal bracket after three losses in the preliminaries going down 31-12 to Argentina 21-7 to Australia and a 26-0 demolition by Samoa.
- 27 Jul 2024 - The club has been left in limbo again but sources insist Everton as a business is “absolutely not in a precarious position”.