- 146 viewsMamilioni ya vijana nchini Zambia wanapambana kupata kazi baada ya kuhitimu na wanaendelea kuwategemea wazazi wao kujikimu. Asilimia 82 ya idadi ya watu nchini humo ni chini ya umri wa miaka 35, kulingana na Umoja wa Mataifa. Mwaka 2018, kiwango cha ukosefu wa ajira nchini Zambia kati ya vijana kiliripotiwa rasmi ni asilimia 41. Wahitimu watatu kutoka mji mkuu wa Lusaka, wanaelezea changamoto za kutafuta kazi kwa Kathy Short #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mamilioni ya vijana Zambia wanahangaika kutafuta ajira
- 25 Jun 2025 - The High Court sitting in Milimani has issued a conservatory order suspending a directive from the Communications Authority of Kenya (CA) that sought to bar television and radio stations from broadcasting live footage of the ongoing anti-government…
- 25 Jun 2025 - A family in Mlolongo, Machakos County, was left shaken after a stray bullet tore through their ceiling, allegedly fired by police to control the protesters during the Wednesday, June 25, demonstrations.
- 25 Jun 2025 - Katiba Institute has filed a constitutional petition challenging what it terms the illegal suspension of the rights to peaceful assembly and freedom of movement by the Inspector General of Police.
- 25 Jun 2025 - The Kenya Editors Guild has strongly condemned the move by the Communications Authority of Kenya to switch off broadcasting signals of several independent media houses, including Citizen TV, NTV, KTN, among others for airing the June 25th protests.
- 25 Jun 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has called on the government to embrace dialogue and heed the cries of citizens protesting across the country, warning that the continued use of force risks pushing Kenya down a dangerous and slippery…
- 25 Jun 2025 - President William Ruto has made a plea to the protesters amid the ongoing Wednesday protests that marked the first anniversary since the deadly anti-Finance Bill 2024 protests that recorded over 60 fatalities.
- 25 Jun 2025 - Justice Mwita says switched off broadcasting signals should be restored with immediate effect.
- 25 Jun 2025 - A report suggested a bomb would derail the planned protests on Wednesday.
- 25 Jun 2025 - Protesters took to the streets to demand justice over the June 25 killings.
- 25 Jun 2025 - The High Court has issued an order suspending with immediate effect the directive by the Communication Authority of Kenya to all television and radio stations, restraining them from covering the June 25, 2025, Gen-Z demonstrations. We’re beefing up this…