- 546 viewsWakazi wa Marekani wameshuhudia tukio kubwa la kupatwa kwa jua Aprili Nane. Inakadiriwa kuwa watu milioni 32 wanaishi ndani ya njia maalum ambayo mwezi ulilizuia kabisa jua na wakazi wengine milioni 150 wanaoishi chini ya maili 200 (kilomita 320) kutoka ukanda huo, haya ni kwa mujibu wa NASA. Wafanyabiashara wengi walijitokeza kwa matukio maalum na huko Cleveland, ambapo viongozi wa eneo hilo wanatarajia wageni 200,000, Rock & Roll Hall of Fame inapanga "Solarfest" ya siku nne ya muziki wa moja kwa moja. Perryman Group, kampuni ya utafiti yenye makao yake makuu Texas, ilikadiria athari za kiuchumi za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja kutokana na tukio la kupatwa kwa jua kwa mwaka 2024 na inaweza kufikia dola bilioni 6. Mwaka huu watu wanaoishi katika njia maalum yenye upana wa maili 115, pana zaidi kuliko mwaka 2017. Inaanzia magharibi mwa Mexico, kupanda juu. kupitia miji ya Marekani ya Dallas, Indianapolis, na Buffalo, kabla ya kuishia mashariki mwa Canada. Shule nyingi zilizo kwenye njia maalum zitafungwa au kuwaruhusu wanafunzi kutoka mapema, pamoja na huko Cleveland na Montreal. #northamerica #us #mexico #canada #total #solar #eclipse #voaswahili #voa #nasa #NASA #NOAA #jua #mwezi #kupatwa #marekani
Mamilioni ya watu wavutiwa na tukio la kupatwa kwa jua
- - Sheria ››
- 2 May 2024 - Three Senior officials of the National Cereals and Produce Board (NCPB) have been arraigned in court, waiting to be charged before the Anti-corruption magistrate.
- 2 May 2024 - A majority of Kenyans do not support the ongoing doctors’ strike which entered its 50th day on Thursday, a new poll by research firm TIFA shows.
- 2 May 2024 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) on Thursday made a decision to charge Jecinter Adoyo Hezron, a senior analyst and personal assistant to the chairperson of Commission on Revenue Allocation (CRA) with forging academic documents.
- 2 May 2024 - President William Ruto, the Commander-in-Chief of the Defence Forces, has promoted Lieutenant General Charles Muriu Kahariri to the rank of General and appointed him the new Chief of the Defence Forces (CDF).
- 2 May 2024 - President William Ruto might be addressing a joint session of the United States Congress on May 23, 2024, if approved by the Speaker of the House.
- 2 May 2024 - The number of Kenyans who have died from the ongoing nationwide floods rose to 188 as of Thursday morning as the nation continues to battle with torrential rains.
- 2 May 2024 - More than half of Kenyans consider Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi most responsible for the dubious subsidised fertiliser under probe, a new survey shows.
- 2 May 2024 - These are the findings of a Trends and Insights For Africa (Tifa) survey.
- 2 May 2024 - The Boston Celtics advanced to the NBA’s Eastern Conference play-off semi-finals with a comfortable 4-1 series win over the Miami Heat. Derrick White and Jaylen Brown both scored 25 points in the Celtics’ 118-84 victory. They dominated throughout despite…
- 2 May 2024 - Stage is set for the semi finals of the FKF Cup which is scheduled Saturday May 4th at Dandora Stadium, Nairobi. Zetech Sparks and Kibera Soccer Ladies will kick off the battle for the final spot when they face off at 11.AM then defending champions…