- 546 viewsWakazi wa Marekani wameshuhudia tukio kubwa la kupatwa kwa jua Aprili Nane. Inakadiriwa kuwa watu milioni 32 wanaishi ndani ya njia maalum ambayo mwezi ulilizuia kabisa jua na wakazi wengine milioni 150 wanaoishi chini ya maili 200 (kilomita 320) kutoka ukanda huo, haya ni kwa mujibu wa NASA. Wafanyabiashara wengi walijitokeza kwa matukio maalum na huko Cleveland, ambapo viongozi wa eneo hilo wanatarajia wageni 200,000, Rock & Roll Hall of Fame inapanga "Solarfest" ya siku nne ya muziki wa moja kwa moja. Perryman Group, kampuni ya utafiti yenye makao yake makuu Texas, ilikadiria athari za kiuchumi za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja kutokana na tukio la kupatwa kwa jua kwa mwaka 2024 na inaweza kufikia dola bilioni 6. Mwaka huu watu wanaoishi katika njia maalum yenye upana wa maili 115, pana zaidi kuliko mwaka 2017. Inaanzia magharibi mwa Mexico, kupanda juu. kupitia miji ya Marekani ya Dallas, Indianapolis, na Buffalo, kabla ya kuishia mashariki mwa Canada. Shule nyingi zilizo kwenye njia maalum zitafungwa au kuwaruhusu wanafunzi kutoka mapema, pamoja na huko Cleveland na Montreal. #northamerica #us #mexico #canada #total #solar #eclipse #voaswahili #voa #nasa #NASA #NOAA #jua #mwezi #kupatwa #marekani
Mamilioni ya watu wavutiwa na tukio la kupatwa kwa jua
- 12 Aug 2025 - The lakeside town is already abuzz with activity as visitors arrive from across the country, creating a windfall for local businesses and spilling demand into neighbouring counties.
- 12 Aug 2025 - The Police Service Commission, tasked with reforming the process, found itself under intense scrutiny from both civilians and serving officers, with many expressing concerns that the proposed system could disadvantage candidates from marginalized…
- 12 Aug 2025 - Nyagana has transformed the underground space into a fully functional dwelling, subdividing it into a sitting room, bedrooms, a kitchen, and even an upper sleeping area. He explains how the arrangement works, noting that he sometimes shifts rooms…
- 11 Aug 2025 - Kenya has recorded 2,933 road fatalities so far this year, with 80 deaths reported in just the past four days, Roads and Transport Cabinet Secretary Davis Chirchir said on Monday.
- 11 Aug 2025 - The response was led by Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development and Special Programmes, Geoffrey Ruku.
- 11 Aug 2025 - CAF says only e-ticket holders to attend Kenya's remaining Group 'A' matches.
- 11 Aug 2025 - Colombian presidential candidate Miguel Uribe has died two months after being shot at a campaign rally, his family said Monday, as the attack rekindled fears of a return to the nation's violent past.
- 11 Aug 2025 - Speaking when he commissioned classrooms and a water Project, Funyula, Busia County, Mudavadi, the former DP was a bitter person who had spent his entire time on his US tour planting tribalism abroad.
- 11 Aug 2025 - The recent spike has involved public service vehicles, private cars, and commercial trucks.
- 11 Aug 2025 - The Gambia is among the 10 countries with the highest rates of FGM.