Skip to main content
Skip to main content

Mamlaka ya NTSA yawapokonya leseni madereva 62

  • | Citizen TV
    2,422 views
    Duration: 1:43
    Mamlaka ya kitaifa ya Uchukuzi na Usalama barabarani, NTSA imezuilia leseni za madereva 62 wa magari ya uchukuzi wa umma na kuamuru wapewe upya mtihani wa madereva. Hatua hii inafuatia tathmini ya ukiukaji wa sheria za trafiki .