- 2,673 viewsDuration: 2:51Simanzi imeendelea kutanda katika vijiji vya Sipala na Malaha eneo la Webuye wanakotoka waathiriwa tisa kati ya 15 waliohusika kwenye ajali ya Trela jana alfajiri. Maandalizi ya mazishi kwa waathiriwa yameanza huku familia zikisema zinaomboleza msiba walioutaja kuwa mkubwa kwao