- 2 views
Bodi ya kutoa mikopo ya elimu ya juu HELB imepinga vikali mapendekezo ya kupunguza muda na riba ya mikopo inayotoa. Mapendekezo hayo yaliyo katika mswada wa helb mwaka wa 2023 uliotayarishwa na mbunge wa Machakos Joyce Kamene, unalenga kurekebisha na kupunguza kiwango cha riba kutoka asilimia 4 hadi 3 huku watu wakipewa nafasi ya miaka mitano kabla ya kuanza kulipa mikopo hiyo. Haya yanajiri wakati serikali bado haijawasilisha ufadhili na mikopo kwa wanafunzi waliopata nafasi katika vyuo vikuu
Mapendekezo ya kubadili sera za HELB yapingwa
- - dar michezo gor ››
- 19 May 2024 - The Democratic Republic of Congo's (DRC) armed forces repelled an attempted coup d'etat involving Congolese and foreign fighters on Sunday morning, a DRC army spokesman said in a televised address.
- 19 May 2024 - A 12-year-old boy was severely injured after being attacked by a buffalo while herding in Ramada village, Tana River County on Sunday.
- 19 May 2024 - A helicopter in the convoy of Iran's President Ebrahim Raisi was involved in "an accident" on Sunday, state media reported, without specifying if the president was on board.
- » 'We won't allow Gachagua to be mistreated,' Governor Kahiga says amid Kenya Kwanza fallout rumours19 May 2024 - Nyeri Governor Edward Mutahi Kahiga has hinted at a possible rift within the ruling Kenya Kwanza alliance.
- 19 May 2024 - “In fact, we can reject the entire budget if necessary.”
- 19 May 2024 - "We sincerely apologise to the customers who have been inconvenienced."
- 19 May 2024 - Search and rescue team were headed to the remote mountain area, state media in the Islamic republic reported.
- 19 May 2024 - Union says justice must prevail for the family of the slain teacher
- 19 May 2024 - The Deputy President had weeks ago touted the one-man one-vote one-shilling approach as a better option for sharing revenue.
- 19 May 2024 - It reduced greenhouse gas emissions by 28%.