Skip to main content
Skip to main content

Maraga azuru Murang’a na Kirinyaga, awarai vijana kujisajili kupiga kura

  • | Citizen TV
    191 views
    Duration: 1:17
    Jaji Mkuu mstaafu na kinara wa UGM David Maraga, ameendelea kuwashinikiza vijana nchini kujisajili kama wapiga kura, ikiwa bado wana azma ya kuwang’atua viongozi aliotaja kuwa wafisadi ofisini.