Skip to main content
Skip to main content

Marehemu rubani george were afanyiwa ibada ya wafu

  • | Citizen TV
    6,419 views
    Duration: 3:48
    Jamaa na marafiki wa marehemu rubani george were wamekongamana katika kanisa la don bosco hapa jijini nairobi kwa misa ya wafu ya kumpa mkono wa buriani . were ni mmoja kati ya watu sita waliofariki kwenye ajali ya helikopta iliyotokea katika eneo la mosop kaunti ya nandi. Ajali hiyo pia ilisababisha kifo cha mbunge wa emurua dikirr johana ng'eno ambaye tayari amezikwa.