- 17,068 viewsDuration: 32sMarekani na Israel zimeanzisha kile walichokiita "shambulio la tahadhari" dhidi ya Iran. Milipuko mitatu imesikika katikati mwa jiji la Tehran. Tazama hali ilivyokuwa baada ya Iran kushambuliwa asubuhi #bbcswahili #iran #marekani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw