Marekani yaitaka Haiti kufanya mageuzi ya dharura ya siasa
Siku ya Jumapili jeshi la Marekani katika taarifa limesema limefanya operesheni ya kuwaondoa wafanyakzi wote wa ubalozi wa Marekani wasio na kazi muhimu, na kwamba limeimarisha usalama kwenye ofisi za ubalozi huo.
Raia wa Marekani nchini humo waliamrishwa tangu wiki iliyopita kuondoka, hiyo ikiwa ishara ya hali kuwa mbaya zaidi nchini humo ambako mageni ya uhalifu yanataka kuiangusha serikali inayongozwa na Waziri mkuu Ariel Henry.
Henry yuko katika kisiwa cha Marekani cha Pueto Rico baada ya kushindwa kurudi Haiti kutoka Kenya ambako alitia saini mkataba wa kuruhusu kuepelekwa kwa polisi wa Kenya kukiongoza kikosi cha Usalama cha Umoja wa Mataifa.
Haijafahamika bado ikiwa waziri mkuu huyo ataweza kurudi nyumbani karibuni, ingawa Marekani imemtaka achukuwe hatua za dharura za mageuzi ya kisaiasa ili kuzuia hali kuzorota zaidi.
Siku ya Jumapili, Papa Francis pia ameongeza sauti yake kutokana na hali ya wasiwasi huko Haiti.
Papa Francis, Mkuu wa Kanisa katholiki anasema:
“Ninafuatilia nikiwa na wasi wasi na uchungu mzozo mbaya kabisa unaoathiri Haiti na kipindi cha ghasia mbaya zilziotokea siku za hivi karibuni. Ninatoa wito wa kusitishwa ghasia na amani na utulivu kurudi haraki kwa wananchi wa Haiti wanaotaabika kwa miaka mingi sasa.”
Jumuiya ya mataifa ya Caribbean, CARICOM, imewaita mawaziri wa mambo ya nje wa Marekani, Ufaransa, Canada na ujumbe wa Umoja wa Matifa kwa mkutano wa dharura na mawaziri wa jumuiya hiyo siku ya Jumatatu mjini Kingston, Jamaica kuzungumzia ghasia hizo.
Rais wa Guyana Arfaan Ali, mwenyekiti wa CARICOM hivi sasa amesema mkutano utajadili masuali tete ya kurudisha utulivu na usalama pamoja na namna ya kuwasilisha kwa dharura msaada wa dharura.
#rais #kenya #williamruto #wazirimkuu #Arielhenry #marekani #raiawamarekani #misaadayakibinadamu #umojawamataifa #haiti #magenge #polisi #wananchi #mauaji #wakimbizi #voa #voaswahili #carribean
29 Apr 2024
- The fistfight erupted after some of the officers failed to settle a bill after an evening of drinking.
29 Apr 2024
- The directive followed the postponement of the schools' opening date.
29 Apr 2024
- County Security and Intelligence Committees (CSICs) across the country were ordered to immediately enforce the directive.
29 Apr 2024
- Nairobi Senator Edwin Sifuna has stated that the Nairobi County government is overwhelmed by the ongoing rains which have claimed many lives and left many displaced.
29 Apr 2024
- The government has directed County Security and Intelligence Committees (CSICs) across the country to inspect all public and private dams and water reservoirs by 2 p.m. Tuesday.
29 Apr 2024
- Roads and Transport Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has pleaded with Kenyans to heed all safety directives issued by the national and county governments on the ongoing floods to avert further loss of lives.
29 Apr 2024
- Several people are feared dead after an improvised explosive device (IED) detonated at the centre of Elwak town, Mandera County on Monday.
29 Apr 2024
- Several people are feared dead after an improvised explosive device (IED) detonated at the centre of Elwak town Marsabit County on Monday.
29 Apr 2024
- African leaders on Monday called for rich countries to commit record contributions to a low-interest World Bank facility for developing nations that they rely on to help fund their development and combat climate change.
29 Apr 2024
- Nairobi Governor Johnson Sakaja now says that his administration will give priority to residents of Nairobi City Council (Kanjo) estates when the affordable houses are ready.
29 Apr 2024
- The fistfight erupted after some of the officers failed to settle a bill after an evening of drinking.
29 Apr 2024
- Bomas of Kenya CEO Peter Gitaa Koria has been freed on a Ksh1 million cash bail after denying eight corruption charges relating to the misappropriation of public funds amounting to Ksh8.5 Million. Milimani Chief Anti-Corruption Magistrate Thomas Nzyoki…
29 Apr 2024
- A donkey cart carrying a suspected improvised bomb blew up outside an eatery in Elwak town in Mandera county killing five people and critically wounding five others. Authorities confirmed that the explosion happened Monday at 7.12 am. The targeted…