Skip to main content
Skip to main content

Marekani yashambulia meli ya mafuta inayodaiwa kuvunja zuio dhidi ya Iran.

  • | BBC Swahili
    3,270 views
    Duration: 31s
    Jeshi la Marekani limesema lilifanya mashambulizi ya kile lilichokiita “kujilinda” dhidi ya Iran usiku kucha na pia lilidungua makombora ya balistiki pamoja na ndege zisizo na rubani (droni) zilizokuwa zikilenga meli na nchi za Ghuba. Jeshi hilo limesema lilifyatua risasi dhidi ya meli ya kusafirisha mafuta iliyokuwa ikijaribu kufika Iran kwa kukiuka zuio la Marekani. #bbcswahili #iran #marekani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw