Maria Sarungi asimulia jinsi alivyotekwa Kenya
Mwanaharakati wa Tanzania Maria Sarungi amehusisha tukio la kutekwa kwake nchini Kenya na ukosoaji wake wa serikali ya Tanzania.
-
Akizungumza na BBC siku moja baada ya kuachiwa, alisema watekaji hao walimuuliza ikiwa anahofia kuvushwa upande wa pili wa mpaka. Maria ni mkosoaji mkubwa wa serikali ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, na ameishutumu serikali yake kwa kurudisha "udhalimu" nchini humo.
-
Amezungumza na mwandishi wa BBC Peter Mwangangi, na alianza kwa kueleza kuhusu utekaji huo uliotokea jana Jumapili.
-
Serikali ya Tanzania haijazungumzia kisa hiki hadi kufikia sasa
-
-
#bbcswahili #tanzania #siasa #uongozi #kenya #mwanaharakati
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
19 Aug 2025
- There has been a wave of criticism from a section of lawyers.
19 Aug 2025
- The association urged vehicle owners to take immediate action.
19 Aug 2025
- Kingi urged all Senators to adhere to the notice.
19 Aug 2025
- Heated exchanges were witnessed during Monday evening’s Machakos County Assembly sessions after county chief officers failed to appear before the House to respond to questions on the methods they have been using to hire staff.
19 Aug 2025
- A man in Nakuru was found guilty of murder in a case where he attacked another man he found under his bed in a suspected love triangle.
19 Aug 2025
- The Chief Magistrate in Busia, Edna Nyaloti, has raised concerns over a growing influence of brokers she says are infiltrating the local court system, warning that the integrity of justice is at risk.
19 Aug 2025
- The victim, identified as Mzee Barack Ochuka, succumbed to injuries after he was attacked with crude weapons, sustaining severe wounds to the head, back, and arms.
19 Aug 2025
- Suna West Member of Parliament (MP) Peter Marara has backed President William Ruto’s remarks on arresting corrupt Members
19 Aug 2025
- Kathiani Constituency Member of Parliament (MP) Robert Mbui has revealed that extortion in Parliament is not a unique
19 Aug 2025
- There has been a wave of criticism from a section of lawyers.
19 Aug 2025
- The association urged vehicle owners to take immediate action.
19 Aug 2025
- MURANG’A, Kenya, Aug 19 – Kahuho Market in Murang’a County was the scene of a high-stakes operation on Monday night after the National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA), working in collaboration with the Murang’a Police…
19 Aug 2025
- Governance expert Fred Ogola has raised concerns over former Prime Minister Raila Odinga’s push to have members of