- 5,781 views
Heri tendo moja jema kuliko mamilioni ya nia njema.
Hivi ndivyo wavyele walivyosema.
Kutana na askari polisi Edward Akoko kutoka kituo cha polisi Mariakani.
Akoko alitawala kwenye mtandao wiki iliyopita baada ya kumtunuku kijana George na viatu aina ya ‘slippers’
George Charo Ngowa kijana mwenye umri wa miaka kumi na mitano anasomea shule ya msingi ya Minyenzeni huko Mariakani kata ndogo ya Kaloleni,Kilifi Kaunti.
Kama kawaida yake akielekea shule miguu chuma,Afisaa Akoko alimuita na kumshauri amuone anaporudi nyumbani kwa chamcha.
Kama kawaida polisi anapokuita na si mazoea basi mtu huwa na hofu.
Pindi tu muda ulipofika,akiwa na wenzake wakielekea nyumbani huku akihofia alishurutishwa na wenzake wapiti karibu na huyo afisaa.
Shingo upande George alijipeleke hapo ndio akatunukiwa viatu vya champali.
Kulingana na mamake,Jumwa Ngala,hakutarajia mtoto wake kuja nyumbani na viatu bipya na alidhania huenda akawa ameiba hivyo basi akaanza kumdadisi.
Hakutosheka na maelezo yake hadi alipouliza marafiki zake ndio roho ikamtulia akaamini kwamba alipewa viatu hivyo na askari polisi.
Ni nadra sana katika jamii kuona askari kama huyu akijinyima ili kuona kwamba kijana anaonekana nadhifu.
Katika mahojiano na afisaa huyo,aliele
Mariakani police officer helps boy in Kaloleni, Kilifi
- - Duniani Leo ››
- 3 Jul 2025 - Another three of the helicopter's eight occupants survived the incident but with severe injuries and burns, said the spokesperson, Felix Kulayigye.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto, who is in a tour in the United Kingdom on Wednesday addressed a Diaspora Townhall in London.
- 3 Jul 2025 - Armed gangs have tightened their grip on Haiti's capital Port-au-Prince, UN officials warned Wednesday, saying it is possible a "total collapse" of state presence in the city could occur.
- 3 Jul 2025 - This is despite 252 total approved positions.
- 3 Jul 2025 - Miguna is infamous for his fiery character and has attracted attention over past interviews with other stations.
- 3 Jul 2025 - President Donald Trump announced Wednesday that he had struck a trade deal with Vietnam under which the country would face a minimum 20 percent tariff and open its market to US products.
- 3 Jul 2025 - Kenya, a nation celebrated for its resilience, vibrant culture, and economic potential, is grappling with a harsh reality: its government systems are failing, and they have been for some time. From healthcare to education, infrastructure to public…
- 3 Jul 2025 - "Don't wait for her," the WhatsApp caller told the family of Abeer Suleiman on May 21, hours after she vanished from the streets of the Syrian town of Safita. "She's not coming back." Abeer's...
- 3 Jul 2025 - “The moment I stopped being ‘Pogba the superstar,’ people vanished. Even my wife distanced herself—and that still breaks me.”
- 3 Jul 2025 - Wheels of justice; court stories lined up for today.