- 5,781 views
Heri tendo moja jema kuliko mamilioni ya nia njema.
Hivi ndivyo wavyele walivyosema.
Kutana na askari polisi Edward Akoko kutoka kituo cha polisi Mariakani.
Akoko alitawala kwenye mtandao wiki iliyopita baada ya kumtunuku kijana George na viatu aina ya ‘slippers’
George Charo Ngowa kijana mwenye umri wa miaka kumi na mitano anasomea shule ya msingi ya Minyenzeni huko Mariakani kata ndogo ya Kaloleni,Kilifi Kaunti.
Kama kawaida yake akielekea shule miguu chuma,Afisaa Akoko alimuita na kumshauri amuone anaporudi nyumbani kwa chamcha.
Kama kawaida polisi anapokuita na si mazoea basi mtu huwa na hofu.
Pindi tu muda ulipofika,akiwa na wenzake wakielekea nyumbani huku akihofia alishurutishwa na wenzake wapiti karibu na huyo afisaa.
Shingo upande George alijipeleke hapo ndio akatunukiwa viatu vya champali.
Kulingana na mamake,Jumwa Ngala,hakutarajia mtoto wake kuja nyumbani na viatu bipya na alidhania huenda akawa ameiba hivyo basi akaanza kumdadisi.
Hakutosheka na maelezo yake hadi alipouliza marafiki zake ndio roho ikamtulia akaamini kwamba alipewa viatu hivyo na askari polisi.
Ni nadra sana katika jamii kuona askari kama huyu akijinyima ili kuona kwamba kijana anaonekana nadhifu.
Katika mahojiano na afisaa huyo,aliele
Mariakani police officer helps boy in Kaloleni, Kilifi
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- - Doctors social ››
- 25 Apr 2024 - The assessment will replace the Kenya Certificate of Primary Education examinations.
- 25 Apr 2024 - Survey shows schools have poor facilities and high levels of teacher and student absenteeism.
- 25 Apr 2024 - Several Marsabit County top officials were also taken for questioning.
- 25 Apr 2024 - More than 10 people feared dead in Nairobi as President Ruto directs the formation of response team.
- 25 Apr 2024 - According to data by Red Cross, 24, 741 households have been adversely affected with 11,206 getting displaced
- 25 Apr 2024 - The bill now moves to the senate, where there is a good chance it will pass.
- 25 Apr 2024 - Out of the seven qualifiers, three including Nancy Chelangat (1,500 T11), Kenya’s sole medallist from the 2020 Tokyo Paralympics, Mary Waithera (1,500 T11) and Wesley Sang (1,500 T46) are from athletics.
- 25 Apr 2024 - Peres Jepchirchir and Alexander Munyao clinched the men's and women's titles in London.
- 25 Apr 2024 - Kenya are joint top alongside Uruguay with 36 points and will face Chile, Portugal, and Mexico in Pool C.
- 25 Apr 2024 - Abok said they will concentrate on strength and conditioning and skill work to stay ahead of their competitors.