- 5,781 views
Heri tendo moja jema kuliko mamilioni ya nia njema.
Hivi ndivyo wavyele walivyosema.
Kutana na askari polisi Edward Akoko kutoka kituo cha polisi Mariakani.
Akoko alitawala kwenye mtandao wiki iliyopita baada ya kumtunuku kijana George na viatu aina ya ‘slippers’
George Charo Ngowa kijana mwenye umri wa miaka kumi na mitano anasomea shule ya msingi ya Minyenzeni huko Mariakani kata ndogo ya Kaloleni,Kilifi Kaunti.
Kama kawaida yake akielekea shule miguu chuma,Afisaa Akoko alimuita na kumshauri amuone anaporudi nyumbani kwa chamcha.
Kama kawaida polisi anapokuita na si mazoea basi mtu huwa na hofu.
Pindi tu muda ulipofika,akiwa na wenzake wakielekea nyumbani huku akihofia alishurutishwa na wenzake wapiti karibu na huyo afisaa.
Shingo upande George alijipeleke hapo ndio akatunukiwa viatu vya champali.
Kulingana na mamake,Jumwa Ngala,hakutarajia mtoto wake kuja nyumbani na viatu bipya na alidhania huenda akawa ameiba hivyo basi akaanza kumdadisi.
Hakutosheka na maelezo yake hadi alipouliza marafiki zake ndio roho ikamtulia akaamini kwamba alipewa viatu hivyo na askari polisi.
Ni nadra sana katika jamii kuona askari kama huyu akijinyima ili kuona kwamba kijana anaonekana nadhifu.
Katika mahojiano na afisaa huyo,aliele
Mariakani police officer helps boy in Kaloleni, Kilifi
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - 🔴 KTN LIVE STREAM ››
- - Outro ››
- 11 May 2025 - Political leaders led by the Speaker of the National Assembly Moses Wetang’ula have defended the ongoing Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) recruitment process, urging Kenyans to remain objective and resist attempts to politicize…
- 11 May 2025 - Members of Parliament allied to Kenya Kwanza have vowed to pass the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) list of nominees once it is tabled in Parliament.
- 11 May 2025 - Pope Leo XIV condemned the spectre of a "third world war" in his first Sunday address, addressing international crises just days after becoming the Catholic Church's new leader.
- 11 May 2025 - Police in Mokowe, Lamu West, Lamu County, are investigating an incident where a GSU constable reportedly shot dead a local school teacher and her daughter before turning the gun on himself.
- 11 May 2025 - The perennial posting of intern doctors, a longstanding issue pitting the Ministry of Health against the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU), was the main cause of the strike that lasted nearly two months last year.
- 11 May 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has expressed confidence in securing justice over his removal from office.
- 11 May 2025 - Columbia University has suspended more than 65 students for their role in a pro-Palestinian demonstration that forced the shutdown of the main campus library, a school official said on Friday.
- 11 May 2025 - Bangladesh’s interim government has banned all activities of the Awami League, the political party of deposed former Prime Minister Sheikh Hasina, under the country’s Anti-Terrorism Act, citing national security concerns.
- 11 May 2025 - Mudavadi said the Dominican Republic has agreed to support the Kenyan-led Haiti security meeting.
- 11 May 2025 - The appellate court reaffirmed the trial judge’s finding that the appeal was time-barred.