- 5,781 views
Heri tendo moja jema kuliko mamilioni ya nia njema.
Hivi ndivyo wavyele walivyosema.
Kutana na askari polisi Edward Akoko kutoka kituo cha polisi Mariakani.
Akoko alitawala kwenye mtandao wiki iliyopita baada ya kumtunuku kijana George na viatu aina ya ‘slippers’
George Charo Ngowa kijana mwenye umri wa miaka kumi na mitano anasomea shule ya msingi ya Minyenzeni huko Mariakani kata ndogo ya Kaloleni,Kilifi Kaunti.
Kama kawaida yake akielekea shule miguu chuma,Afisaa Akoko alimuita na kumshauri amuone anaporudi nyumbani kwa chamcha.
Kama kawaida polisi anapokuita na si mazoea basi mtu huwa na hofu.
Pindi tu muda ulipofika,akiwa na wenzake wakielekea nyumbani huku akihofia alishurutishwa na wenzake wapiti karibu na huyo afisaa.
Shingo upande George alijipeleke hapo ndio akatunukiwa viatu vya champali.
Kulingana na mamake,Jumwa Ngala,hakutarajia mtoto wake kuja nyumbani na viatu bipya na alidhania huenda akawa ameiba hivyo basi akaanza kumdadisi.
Hakutosheka na maelezo yake hadi alipouliza marafiki zake ndio roho ikamtulia akaamini kwamba alipewa viatu hivyo na askari polisi.
Ni nadra sana katika jamii kuona askari kama huyu akijinyima ili kuona kwamba kijana anaonekana nadhifu.
Katika mahojiano na afisaa huyo,aliele
Mariakani police officer helps boy in Kaloleni, Kilifi
- 25 Sep 2023 - The ruling United Democratic Alliance (UDA) party has distanced itself from a proposal by Nandi County Senator Samson Cherargei to extend the presidential term limit to seven years from the current five.
- 25 Sep 2023 - On May 17, 2022, Deputy President Rigathi Gachagua introduced Maina Muchangi to Kenyans, a man with whom he said they shared a friendship of over 18 years.
- 25 Sep 2023 - Ruto was speaking at the State House in Nairobi, where the DPP took the oath of office, and emphasized the importance of accountability at all levels and arms of government.
- 25 Sep 2023 - A former employee of Eldoret-based Ineet Millers Limited wants the company to pay him Ksh. 1.3 million as compensation for unfair and wrongful termination of his service.
- 25 Sep 2023 - A Nairobi court has released a suspect linked with the murder of Nairobi Hospital Acting Finance Director Eric Maigo.
- 25 Sep 2023 - Kathiani Member of Parliament Robert Mbui has expressed concerns over State House Chief of Staff and Head of the Public Service, Felix Koskei’s role in the corruption probe against former CEO of Athi Water, Michael Thuita.
- 25 Sep 2023 - A 26-year-old Kenyan was on Sunday arrested at the Bandaranaike International Airport (BIA) in Katunayake, Sri Lanka while trying to smuggle in 4 Kgs of cocaine worth an estimated amount of over Ksh.136M (Rs 300M).
- 25 Sep 2023 - Niger's military rulers on Sunday welcomed the announcement that France will pull its troops out of the country by the end of the year as "a new step towards sovereignty".
- 25 Sep 2023 - The government made the revelations few days to the official launch to be president by President William Ruto.
- 25 Sep 2023 - Cynthia Andalo alias Flora Okonda met Eric Maigo at club hours before his death.