- 4,685 viewsDuration: 3:17Masaibu yanayomkumba aliyekuwa Waziri Raphael Tuju yanayokana na mvutano wa miaka 9 mahakamani, yaliyoanzia Uingereza na kuendelea nchini Kenya. Kesi hizo zipitia viwango vyote vya mahakama ila ile ya juu zaidi ya upeo. Hebu sasa tuangazie jinsi mvutano huu ulivyoanza hadi sasa.