Skip to main content
Skip to main content

Maseneta wa kamati ya afya wazuru hospitali Lamu kukagua changamoto za afya

  • | Citizen TV
    145 views
    Duration: 3:11
    Kamati ya Afya katika Bunge la Seneti imekuwa na ziara ya siku mbili katika kaunti ya Lamu ili kufahamu na kubaini changamoto za hospitali za Lamu. Ziara hii inalenga kuhakikisha wakazi wa Lamu wanapata huduma za afya inavyostahili.