- 7,826 views
Naibu Inspekta Jenerali wa polisi Gilbert Masengeli ameomba msamaha kwa mahakama kwa kukosa kuhudhuria vikao vya mahakama kuelezea waliko watu watatu waliodaiwa kutekwa nyara na polisi katika eneo la Kitengela. Masengeli ameapa kuwa atahudhuria vikao vya mahakama na kutekeleza wajibu wake wa kuhakikisha sheria inafuatwa. Aidha ameelezea kuwa hakufanya kusudi kukataa kufika mahakamani bali alikuwa na majukumu ya kikazi yaliyomfanya kukosa kufika mahakamani. Aidha amesema kuwa anaheshimu mahakama na atawajibika. Haya yanajiri huku akikata rufaa kuhusu hukumu ya miezi sita aliyopewa na jaji Lawrence Mugambi.
Masengeli aomba mahakama msamaha asema hakukusudia kukaidi mahakama
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 30 Apr 2025 - Ugandan President Yoweri Museveni said on Tuesday that he had a "productive meeting" with the representatives of tech billionaire Elon Musk's Starlink, which is looking to establish a presence in the East African country.
- 30 Apr 2025 - A group of philanthropies including the Gates Foundation has set up a fund backed with nearly Ksh.64.7 billion to help save the lives of newborn babies and mothers in sub-Saharan Africa, standing out against a bleak global health funding landscape.
- 30 Apr 2025 - How KRA loses billions to falsified mitumba invoices
- 30 Apr 2025 - Justice on hold: IPOA slammed for laxity in Gen Z protest probes
- 30 Apr 2025 - Council to crack down on foreign doctors working in Kenya illegally
- 30 Apr 2025 - Judge testifies in bribery bid case involving former student leader
- 30 Apr 2025 - Ruto's name dragged into bloody Ang'ata land row
- 30 Apr 2025 - Angata Barikoi: State defied court order not to evict families
- 30 Apr 2025 - Matiang'i joins Gachagua, Kalonzo team in talks for new coalition
- 30 Apr 2025 - In a fit of recklessness, the MP wonders why the President has not withdrawn BBC's license over an exposé.