- 10,919 viewsDuration: 3:02Mashabiki wa Arsenal kutoka maeneo mbalimbali nchini Kenya walijitokeza katika miji tofauti kusherehekea ushindi wa timu hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza kwa mara ya kwanza baada ya miaka 22 ya kusubiri.