- 506 viewsWapalestina 47 wameuawa na darzeni kujeruhiwa, wengi wao wakiwa watoto na wanawake katika mashambulizi ya usiku wa kuamkia Ijumaa yaliyotekelezwa na Israel katikati mwa ukanda wa Gaza. Shirika la habari la Palestina WAFA, limeripoti kwamba mashambulizi yametokea katika mji wa Deir Al-Balah, kambi ya Nuseirat, na katika mji wa Al-Zawayda. Jeshi la Israel limesema wanajeshi wake wamewalenga na kuwaua magaidi kadhaa waliokuwa wamejihami katikati mwa Gaza na kuua darzani kadhaa katika sehemu ya Jabalia, kaskazini mwa Gaza. Vita vya Gaza vilianza baada ya wanamgambo wa Hamas kushambulia Israel Oktoba 7 2023 na kuua watu 1,200, kuteka nyara 251 na kurudi nao Gaza. Mashambulizi ya Israel katika Gaza yameua zaidi ya wapalestina 43,000 na kuharibu kabisa sehemu hiyo. - Reuters
Mashambulizi yaliyofanywa na Israel yaua Wapalestina 47, darzeni wajeruhiwa
- - Duniani Leo ››
- 18 Jun 2025 - The US president insists Washington has played no part in ally Israel's bombing campaign, but also warned Iran his patience is wearing thin as the conflict enters a sixth day.
- 18 Jun 2025 - Four human rights activists arrested on Tuesday in Mombasa for participating in a protest demanding justice for the late teacher and blogger Albert Ojwang’ have been released on cash bail of Ksh.5,000 each.
- 18 Jun 2025 - Israel's strikes on Iran have targeted several of its nuclear facilities as it claims the country is seeking to develop nuclear weapons -- an accusation Tehran denies.
- 18 Jun 2025 - Mali began construction of a new Russia-backed gold refinery on Monday, which the West African country's military leader said would take it closer to asserting control over its natural resources.
- 18 Jun 2025 - Senegal has postponed until June 23 the publication of its budget execution reports for the last two quarters, the finance ministry said in a statement, as the new administration works to rebuild investor trust after a hidden-debt scandal.
- 18 Jun 2025 - The suspect is currently being held by anti-terror police.
- 18 Jun 2025 - Investigations have since began to establish the main cause of the accident
- 18 Jun 2025 - The city mask vendor who was shot in Nairobi is currently undergoing surgery, with an intensive care unit (ICU) bed prepared for post-operative care.
- 18 Jun 2025 - Tina Knowles reveals how a matrilineal bloodline survived slavery, segregation and police brutality to create music royalty
- 18 Jun 2025 - One of the five arresting officers told the family he was accused of insulting a police boss on social media.