Skip to main content
Skip to main content

Mashirika ya uhifadhi wa wanyamapori yaitaka serikali kuimarisha uwepo wa huduma za wanyamapori

  • | Citizen TV
    198 views
    Duration: 1:36
    Mashirika ya uhifadhi wa wanyamapori yaitaka serikali kuimarisha uwepo wa huduma za wanyamapori katika maeneo ya Kaskazini Mashariki, yakisema uhaba wa vituo vya KWS na walinzi wa wanyamapori unachangia ongezeko la ujangili.