MSF yasema hali ni mbaya Ituri, mashariki mwa DRC, katika Dira ya Dunia TV
Shirika la misaada ya kibinadamu la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba hali katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo inazidi kuwa mbaya. MSF inasema watu huko wanakabiliwa na mashambulizi ya vurugu, kulazimishwa kukimbia nyumba zao, na kuhangaika kupata huduma za matibabu. Katika ripoti hiyo mpya, MSF inasema maisha yanazidi kuwa hatari zaidi kwa jamii zilizoko kwenye mzozo huko mashariki mwa DRC, ambapo Umoja wa Mataifa unasema mapigano hayo yamewafanya zaidi ya watu laki moja kukosa makazi. Tangu mwanzo wa mwaka huu, zaidi ya watu 200 wameuawa katika mashambulizi, na wengine wengi kujeruhiwa. MSF inasema madaktari wao wamewatibu manusura wa mashambulizi ya mapanga na risasi, wakiwemo watoto na wanawake wajawazito.
9 May 2025
- Erastus Ethekon was nominated by President William Ruto upon the recommendation of the IEBC selection panel.
9 May 2025
- The results signaled that more Kenyans are paying taxes despite economic pushbacks.
9 May 2025
- Pope Leo XIV was elected on Thursday, May 8, replacing the late Pope Francis as the head of the Catholic church.
9 May 2025
- Ukraine's parliament voted Thursday to ratify a long-awaited minerals deal with the United States, an agreement Kyiv hopes will pave the way for future military support from Washington.
9 May 2025
- Rwanda's economy is forecast to grow at a slower pace this year than in 2024, while government spending for the 2025/26 fiscal year is expected to rise by about a fifth, Finance Minister Yusuf Murangwa said on Thursday.
9 May 2025
- Bill Gates pledged on Thursday to give away Ksh.25.8 trillion via his charitable foundation by 2045 and lashed out at Elon Musk, accusing the world's richest man of "killing the world's poorest children" through huge cuts to the U.S. foreign aid budget.
9 May 2025
- Kenya’s Ambassador to Belgium, Prof. Bitange Ndemo, has declined his appointment as the new Vice Chancellor of the University of Nairobi (UoN), citing procedural irregularities.
9 May 2025
- Former US president Joe Biden said Thursday he was not surprised Kamala Harris lost the 2024 election to Donald Trump and blamed her defeat on Republicans taking the "sexist route."
9 May 2025
- Erastus Ethekon was nominated by President William Ruto upon the recommendation of the IEBC selection panel.
9 May 2025
- The EU on Thursday threatened to target US cars and planes among a raft of products worth 95 billion euros (Ksh.13.89 trillion) if negotiations with President Donald Trump's team fail to avert a trade war.
9 May 2025
- The results signaled that more Kenyans are paying taxes despite economic pushbacks.
9 May 2025
- Fresh storm brews at UoN over disputed VC appointment
9 May 2025
- Pope's old tweets spark MAGA outrage. His past social media posts critical of Trump and JD Vance.