- 67 views
Serikali inatarajiwa kuzindua bima ya kijamii ya matibabu kuanzia tarehe moja mwezi Julai mwaka huu kama sehemu ya ajenda yake ya kufanikisha mpango wa afya kwa wote. Akiongea leo jijini Nairobi alipofungua rasmi kongamano la kitaifa kuhusu ugonjwa wa saratani, waziri wa afya Susan Nakhumicha alisema hatua hiyo itahakikisha wakenya wote wanapata huduma bora za matibabu. Kwa upande wake, gavana wa kaunti ya Kisumu Profesa Peter Anyang' Nyong'o alisema kongamano hilo kuhusu saratani linatoa fursa kwa Wa-Afrika kushirikiana na kubuni mikakati mipya ya kukabiliana na ugonjwa wa saratani.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #afya #News #saratani
Matibabu kwa wote | Hazina ya kitaifa ya afya ya kijamii kuzinduliwa
- - Quality of education ››
- 2 May 2024 - Survivors of the Maai Mahiu flash floods say they had been warned over the looming danger posed by the Old Kijabe seasonal dam hours before the tragedy struck.
- 2 May 2024 - A police officer died in Matungulu, Machakos County after his car was swept away by floods in River Kware on Wednesday afternoon.
- 2 May 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja is under fire over the county’s response to floods from the heavy rainfall being experienced across the country.
- 2 May 2024 - Generals know wars and rise through the ranks by surviving battles and hardships
- 2 May 2024 - President William Ruto has promoted Lieutenant General Charles Muriu Kahariri to the rank of General and appointed him the Chief of the Defence Forces. This following the demise of the former Chief of Defense Forces the late General Francis Ogolla.…
- 2 May 2024 - He now replaces his boss Gen Francis Ogolla who died in a chopper crash.
- 2 May 2024 - The new CDF will be replacing Ogolla who died last month.
- 2 May 2024 - The report was released by TIFA on Thursday
- 2 May 2024 - The position was left vacant following the death of General Ogolla.
- 2 May 2024 - He was first elected to office in 2007 as area MP on a KANU ticket.