Matukio ya Bomas yazungumziwa mazishini

  • | K24 Video
    107 views

    Simulizi kinzani zimeibuka kuhusiana na uwepo wa marehemu Jenerali Francis Ogolla katika ukumbi wa Bomas, wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais wa 2022. Wakati wa mazishi ya Jenerali Ogolla, waziri wa ulinzi Aden Duale alisisitiza kujitolea kwa Jenerali Ogolla katika kazi bila kuyumba, akisisitiza kwamba uwepo wake Bomas ulikuwa ukizingatia maagizo kutoka kwa wakuu wake