Skip to main content
Skip to main content

Matumizi Ikulu: Kadi Ksh800M, ukarabati Ksh400M, jumla zaidi ya Ksh11B

  • | Citizen TV
    7,913 views
    Duration: 3:07
    Afisi ya rais william ruto ilitumia shilingi milioni 800 katika mwaka wa kifedha uliopita kuchapisha stakabadhi za afisi yake.ripoti ya mdhibiti wa bajeti margaret nyakang’o pia imeonyesha kwamba ikulu ya nairobi ilitumia shilingi milioni 400 katika mwaka huo, kukarabati na kutia nakshi ikulu. Emmanuel too anaarifu kuhusu matumizi hayo ambayo nyakang'o ametilia shaka.