- 6,629 views
Mwanapatholojia mkuu wa serikali Johansen Oduor amethibitisha kwamba fursa ya kuponea kifo ya marehemu mbunge wa kasipul Charles Ong’ondo Were mnamo Jumatano iliyopita ilikuwa finyu. Hii ni baada ya uchunguzi wa maiti uliofanywa na mwanapatholojia huyo, kufichua kwamba alipigwa risasi mara tano, huku risasi hizo zikisalia mwilini na kuathiri viungo muhimu. Na kama anavyoripoti Abdiaziz Hashim, washukiwa wanne wanaoaminika kuhusika mauaji hayo watasalia korokoroni kwa siku 30 zijazo, huku maafisa wa upelelezi wa jinai wakiendelea kuwasaka wahusika zaidi wanaoaminika kuhusika.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mauaji ya mbunge wa Kasipul I Yabainika Ong’ondo Were alipigwa risasi tano
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- » Rising Stars assistant tactician Anthony Akhulia laments defensive lapses cost team crucial Group ‘B’ result6 May 2025 - Kenya’s Rising Stars suffered a crushing 3-1 defeat to Tunisia in their CAF Under-20 Africa Cup of Nations Group B clash at Cairo’s 30 June Stadium, a result that leaves their qualification hopes hanging by a thread. Despite taking an early lead through…
- 6 May 2025 - The suspects—Peter Kariuki Mathii, Issak Mugo Kanini, and David Nganga Macharia—were arraigned in court following their arrest by the Directorate of Criminal Investigations (DCI).
- 6 May 2025 - The officers — Francis Gachoki, Alexander Lorogoi, Isaac Wabukala, Michael Kimaiyo, Evans Kipsang, and Abdulrahman Ali Sudi — appeared before Principal Magistrate Kipkurui Kibellion and pleaded not guilty to one count of abduction with intent to confine.
- 6 May 2025 - Kenyan pilot killed in Sudan army airstrike
- 6 May 2025 - Teachers fume over plan to slash their hardship allowance
- 6 May 2025 - My encounter with Pope Francis during the Covid-19 pandemic
- 6 May 2025 - Galla goats give lifeline to struggling pastoralists
- 6 May 2025 - Doctors' strike cripples health services in Kakamega
- 6 May 2025 - Beyond debts and deficits: Will budget 202526 chart a new path?
- 6 May 2025 - How knowledge gaps, misinformation limits access to SHA services