- 29 views
Tume ya kitaifa ya jinsia na usawa inataka taasisi za umma kutenga asilimia 1.5 ya jumla ya bajeti yao ya kila mwaka kwa mipango ya ujumuishaji wa masuala ya jinsia. Katika ripoti iliyotolewa na tume hiyo kuhusu hali ya usawa wa kijinsia na ushirikishwaji katika sekta ya umma, ripoti hiyo inaonyesha kuna wanawake wachache kuliko wanaume katika sekta ya umma, asilimia 6 ya wafanyakazi wako kwenye nyadhifa za usimamizi, huku asilimia 1.6 pekee ya wafanyakazi ikijumuisha watu wenye ulemavu ambayo ni upungufu wa asilimia 5 inayohitajika. Fredrick Parsayo na taarifa kamili huku tume hiyo ikitoa wito wa kutengwa kwa raslimali zaidi kwa afisi huru za kikatiba.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mauaji ya Wanawake I Taasisi za umma zatakiwa kutenga asilimia 1.5 ya bajeti kwa masuala ya jinsia
- 2 May 2024 - Motion for the impeachment of Nakuru County Secretary Dr Samwel Mwaura, tabled by Menengai East Member of County Assembly Wilson Mwangi split the House on Thursday.
- 2 May 2024 - Royal Media Services (RMS)-owned television, radio and digital platforms continue to lead Kenya’s media landscape, according to the latest findings by the Media Council of Kenya (MCK).
- 2 May 2024 - Three Senior officials of the National Cereals and Produce Board (NCPB) have been arraigned in court, waiting to be charged before the Anti-corruption magistrate.
- 2 May 2024 - A majority of Kenyans do not support the ongoing doctors’ strike which entered its 50th day on Thursday, a new poll by research firm TIFA shows.
- 2 May 2024 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) on Thursday made a decision to charge Jecinter Adoyo Hezron, a senior analyst and personal assistant to the chairperson of Commission on Revenue Allocation (CRA) with forging academic documents.
- 2 May 2024 - Parliament had passed the Bill that removed idle and disorderly offences from the Penal Code Act.
- 2 May 2024 - Kenya has also made similar loan repayments to Israel in the last two financial years.
- 2 May 2024 - The Premier League has missed out on a fifth Champions League position for next season in the Bundesliga due to English clubs' poor performance in Europe. One club from each of the two countries that performs the best in European club competition this…
- 2 May 2024 - The department had explained that it was experiencing downtime in its passport application receiving system
- 2 May 2024 - The company was involved in projects deemed to be among the best in Africa.