- 44 views
Wadau mbalimbali wakiwemo wale wa idara ya polisi, mashirika ya jamii na watetezi wa haki za wanyama wametoa wito wa kupiga marufuku uuzaji,ununuzi na usafirishaji wa nyama ya punda ili kuwanusuru wanyama hapo walio katika hatari ya kuangamia. Akiongea mjini Kithyoko kwenye mpaka kati ya kaunti za Machakos na Kitui baada ya mkutano wa kutathmini usalama wa punda, wadau hao walilalamikia ongezeko la visa vya punda wanaochinjwa na nyama yao kuuzwa bila idhini .Uchinjaji wa mnyama huyo unasemekana kutekelezwa misituni na nyama hiyo kuuzwa katika kaunti za Kitui , Embu na Machakos .Pia wametoa wito wa uhamasisho kwenye jamii kuhusu umuhimu wa mnyama huyo hususan katika maeneo kame .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mauzo ya nyama ya punda yaongezeka Embu, Kitui, Machakos
- 18 Aug 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged residents of Rift Valley to rally behind President William Ruto in his bid for a second term, arguing that his performance has dwarfed that of his predecessors.
- 18 Aug 2025 - Five suspects are awaiting arraignment after being found in possession of bhang and other stolen items after a crackdown in Kakamega.
- 18 Aug 2025 - In Egypt's Wadi al-Gemal, where swimmers share a glistening bay with sea turtles, a shadowy tourism deal is threatening one of the Red Sea's last wild shores.
- 18 Aug 2025 - US President Donald Trump said reclaiming Crimea or entering NATO were off the table for Ukraine, as President Volodymyr Zelensky arrived in Washington for Monday's talks aimed at ending the war with Russia.
- 18 Aug 2025 - Trapped in a broken system, county workers are denied treatment as insurance scams flourish unchecked.
- 18 Aug 2025 - Murang’a County Senator Joe Nyutu has revealed that it is President William Ruto who gives MPs money to
- 18 Aug 2025 - Journalist Dennis Okari has voiced concerns over the functionality of the Social Health Authority (SHA), suggesting that the
- 18 Aug 2025 - Trump said an agreement should be struck to end the 42-month-long war.
- 18 Aug 2025 - What's your body telling you in the morning?
- 18 Aug 2025 - This comes just days after President Ruto announced a high-level meeting between the party and Kenya Kwanza.