Skip to main content
Skip to main content

Mawakili 30 wataka hakimu mkuu kuhamishwa

  • | Citizen TV
    1,085 views
    Duration: 1:42
    Shughuli katika mahakama ya Busia zinaendelea kutatizika kwa siku ya tatu hii leo baada ya baadhi ya mawakili wanaohudumu mahakamani kususia vikao vya kusikizwa kwa kesi katika mahakama inayoongozwa na hakimu mkuu edna nyaloti.