Skip to main content
Skip to main content

Mawakili wahimizwa kupigania haki za utawala bora

  • | KBC Video
    82 views
    Duration: 3:01
    Chama cha wansheria humu nchini kimetakiwa kusimama kidete katika kupigania haki na utawala bora huku nchi hii ikielekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Akihutubia hafla ya kuweka jiwe la msingi la jumba la Wakili Towers jijini Nairobi, Waziri wa usalama wa taifa Kipchumba Murkomen alisema chama hicho ni nguzo muhimu ya kuhakikisha serikali inawajibika, na akawahimiza mawakili kutekeleza wajibu wao ili Kenya iweze kuheshimu utawala uliojikita kwenye sheria. Jaji Mkuu Martha Koome, aliyehudhuria hafla hiyo, alisema mradi wa jumba la Wakili Towers utaimarisha mchango wa mawakili katika mfumo wa utekelezaji haki humu nchini. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive