- 162 viewsKundi la Misaada la World Central Kitchen, WCK, limesema Jumanne kwamba shambulizi la anga la Israel limeuwa wafanyakazi wake 7 huko Gaza, na hivyo linasitisha mara moja shughuli zake katika eneo hilo. WCK katika taarifa limesema kwamba limekamilisha ufikishaji wa tani 100 za msaada wa chakula kwenye ghala moja mjini Deir al Balah, na kwamba msafara wa magari mawili ya kivita yenye nembo yake ulikuwa ukiondoka mjini humo wakati shambulizi lilipotokea. Limesema kuwa shambulizi hilo la anga limefanyika licha ya kuwepo mawasiliano na jeshi la Israel. Miongoni mwa waliokufa ni pamoja na raia mmoja wa Palestina, raia wa Australia, Poland, Uingereza na Mmarekani mwenye asili ya Canada, shirika hilo limesema. Mtendaji mkuu wa WCK, Erin Gore, aliliita shambulizi hilo kama lisilowezai kusamehewa. “Hili silo tu shambulizi dhidi ya WCK pekee, ni shambulizi dhidi ya mashirika yote ya kibinadamu yanayopeleka misaada, kwenye eneo ambako chakula kinatumiwa kama silaha ya vita,” ameongeza Gore. Mwanzilishi wa shirika hilo Jose Andres kupitia kwenye mitandao ya kijamii “amevunjika moyo na kuomboleza kutokana na vifo vya dada yetu na kaka zetu kutokana na shambulizi la IDF huko Gaza. - VOA News #kundi #WorldCentralKitchen #wafanyakazi #misaada #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #gaza #Palestina
Maziko ya Wafanyakazi wa World Central Kitchen Gaza
- 12 Aug 2025 - The lakeside town is already abuzz with activity as visitors arrive from across the country, creating a windfall for local businesses and spilling demand into neighbouring counties.
- 12 Aug 2025 - The Police Service Commission, tasked with reforming the process, found itself under intense scrutiny from both civilians and serving officers, with many expressing concerns that the proposed system could disadvantage candidates from marginalized…
- 12 Aug 2025 - Nyagana has transformed the underground space into a fully functional dwelling, subdividing it into a sitting room, bedrooms, a kitchen, and even an upper sleeping area. He explains how the arrangement works, noting that he sometimes shifts rooms…
- 11 Aug 2025 - Kenya has recorded 2,933 road fatalities so far this year, with 80 deaths reported in just the past four days, Roads and Transport Cabinet Secretary Davis Chirchir said on Monday.
- 11 Aug 2025 - The response was led by Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development and Special Programmes, Geoffrey Ruku.
- 11 Aug 2025 - CAF says only e-ticket holders to attend Kenya's remaining Group 'A' matches.
- 11 Aug 2025 - Colombian presidential candidate Miguel Uribe has died two months after being shot at a campaign rally, his family said Monday, as the attack rekindled fears of a return to the nation's violent past.
- 11 Aug 2025 - Speaking when he commissioned classrooms and a water Project, Funyula, Busia County, Mudavadi, the former DP was a bitter person who had spent his entire time on his US tour planting tribalism abroad.
- 11 Aug 2025 - The head of a powerful Tunisian trade union confederation called on Monday to defend the group after protesters backed by President Kais Saied levelled harsh accusations against it.
- 11 Aug 2025 - CAF has warned Kenya of relocating remaining CHAN matches if safety violations continue.