- 162 viewsKundi la Misaada la World Central Kitchen, WCK, limesema Jumanne kwamba shambulizi la anga la Israel limeuwa wafanyakazi wake 7 huko Gaza, na hivyo linasitisha mara moja shughuli zake katika eneo hilo. WCK katika taarifa limesema kwamba limekamilisha ufikishaji wa tani 100 za msaada wa chakula kwenye ghala moja mjini Deir al Balah, na kwamba msafara wa magari mawili ya kivita yenye nembo yake ulikuwa ukiondoka mjini humo wakati shambulizi lilipotokea. Limesema kuwa shambulizi hilo la anga limefanyika licha ya kuwepo mawasiliano na jeshi la Israel. Miongoni mwa waliokufa ni pamoja na raia mmoja wa Palestina, raia wa Australia, Poland, Uingereza na Mmarekani mwenye asili ya Canada, shirika hilo limesema. Mtendaji mkuu wa WCK, Erin Gore, aliliita shambulizi hilo kama lisilowezai kusamehewa. “Hili silo tu shambulizi dhidi ya WCK pekee, ni shambulizi dhidi ya mashirika yote ya kibinadamu yanayopeleka misaada, kwenye eneo ambako chakula kinatumiwa kama silaha ya vita,” ameongeza Gore. Mwanzilishi wa shirika hilo Jose Andres kupitia kwenye mitandao ya kijamii “amevunjika moyo na kuomboleza kutokana na vifo vya dada yetu na kaka zetu kutokana na shambulizi la IDF huko Gaza. - VOA News #kundi #WorldCentralKitchen #wafanyakazi #misaada #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #gaza #Palestina
Maziko ya Wafanyakazi wa World Central Kitchen Gaza
- - LIVE|| TV47 Matukio ››
- 2 May 2024 - U.S. Secretary of State Antony Blinken met with Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu in Jerusalem on Wednesday as talks continue in Cairo to resolve details of an elusive bid for a cease-fire in Israel’s war with Hamas militants in Gaza.
- 2 May 2024 - Tourists were evacuated by air from Kenya's Maasai Mara National Reserve Wednesday after more than a dozen hotels, lodges and camps were flooded as heavy rains continue to batter the country.
- 2 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenya Rural Roads Authority (KeRRA) is in the eye of a storm over the irregular award of a Sh4.6 billion […]
- 2 May 2024 - East African Community, ASALs, and Regional Development Cabinet Secretary Peninah Malonza has urged Kenyans to avoid politicizing the current floods which have led to the deaths of hundreds of people countrywide.
- 2 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Battle for the estate of a deceased AIC church cleric Edward Limo in Uasin Gishu County has taken a new […]
- 2 May 2024 - Eastern India experienced its hottest April on record as a heatwave scorched parts of the country amid a general election, killing at least nine people, and the weather office on Wednesday forecasted above-normal temperatures for May too.
- 2 May 2024 - Harvey Weinstein is due to appear in state court in Manhattan on Wednesday for the first time since New York's highest court threw out his 2020 rape conviction last week.
- 2 May 2024 - Reading Time: 3 minutes Lawmakers want the Ministry of Health to suspend the registrations of Kenyans into the Social Health Insurance Fund (SHIF) until […]
- 2 May 2024 - Three managers at the National Cereals and Produce Board (NCPB) will face charges in connection with the fake fertiliser scandal that has been in the country for about two months.
- 2 May 2024 - Supporters of Israel attacked a pro-Palestinian protest camp at the University of California in Los Angeles on Wednesday, while New York's mayor said a pro-Palestinian protest at Columbia University broken up by police had been led by outsiders.