- 26,376 viewsDuration: 1:45Je kuna mazungumzo ya kusitisha mapigano yanayoendelea kati ya Marekani na Iran? Wakati upande mmoja, Marekani, unasema kuna mazungumzo yanayoendelea na yenye tija ya kumaliza vita, na upande mwingine, Iran, inasema “hapana, hayapo”, basi nani aaminiwe? @mariammjahid na taarifa zaidi: - - #bbcswahili #trump #iran #marekani #israel #vita Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw