- 82 views
Sekta ya afya iliyo taabani bado haijapata tiba kwani mgogoro kati ya madaktari na serikali ungali unaendelea. Muungano wa madaktari nchini, KMPDU umesusia kutia saini mkataba wa kurudi kazini. katika mkutano na kamati ya kitaifa ya kutatua mgogoro, ambao uliendelea hadi usiku wa manane, tuhuma na majibu kutoka pande zote yalisababisha kusimama kwa mazungumzo. KMPDU Inasisitiza kuwa mgomo bado unaendelea huku ikiishutumu serikali kwa kukataa kutoa muda wa kutekeleza ahadi zake na kushughulikia masuala yaliyoangaziwa katika notisi ya mgomo
Mazungumzo ya serikali na madaktari yakwamia katika utiaji saini
- - Thika | AREA CODE ››
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - Fico was gravely injured after being shot in the small town of Handlova on Wednesday
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - The suspects had been slaughtering 30 donkeys near River Sagana.
- 18 May 2024 - Detectives noted they were in the process of conducting investigations.
- 18 May 2024 - The MP asked Raila to heed to the cries of suffering Kenyans
- 18 May 2024 - The Catholic church has changed its rules on judging miracles as it seeks to avert scandals. The rules come into effect on Sunday, May 19.
- 18 May 2024 - Sports fans will find a lot of interesting things on the bookmaker's platform
- 18 May 2024 - Audit exposes rot in stalled Sh23m Siaya bus park project