- 375 views
Mbunge wa Emuhaya Omboko Milemba alijipata taabani baada ya matamshi yake katika hafla ya michezo ya muungano ya walimu wa shule za upili KUPETT kaunti ya Homa-Bay. Zogo lilianza wakati mbunge huyo alijitambulisha na kusema alipga kura kuunga mkono mswada wa fedha katika bunge la kitaifa. Ni msimamo uliowaghadhabisha zaidi ya walimu 300 waliokuwa wakishiriki michezo hiyo na kumuamrisha aondoke. Licha ya Katibu Mkuu wa KUPPET Akello Misori kuwasihi walimu kuwa na subira, walimu hawa walisimama na azma yao wakisema mswada huo ni hatari kwao.
Mbunge Milemba wa Emuhaya afurushwa kwenye hafla baada ya kukiri kuunga mkono mswada wa fedha 2023
- 28 Apr 2024 - The Kenya Defence Forces (KDF) has launched a probe into a disconcerting incident where its soldiers assaulted Kenya Police officers at the Likoni ferry channel in Mombasa.
- 28 Apr 2024 - Pope Francis will visit Venice on Sunday, his first trip outside Rome in seven months, which will be closely watched amid concerns over the 87-year-old's fragile health.
- 28 Apr 2024 - Hundreds of passengers and motorists that were travelling to and from Kagio town in Kirinyaga County were on Saturday night left stranded for hours after raging water flooded Kagio town along Kagio-Kutus-Sagana roads.
- 28 Apr 2024 - Police in Benin fired tear gas to break up a protest over the cost of living called by trade unions and they arrested several senior union figures on Saturday, witnesses and union officials said.
- 28 Apr 2024 - Twenty-one people had by Sunday morning been evacuated to safety after heavy rain and flooding in Nairobi’s Njiru area, the Red Cross said.
- 28 Apr 2024 - The U.N. Security Council on Saturday expressed its "deep concern" over an imminent attack on al-Fashir in Sudan's North Darfur region by the Rapid Support Forces (RSF).
- 28 Apr 2024 - Gachagua admitted that about 10,000 government workers may be having fake papers.
- 28 Apr 2024 - Kenya Defence Forces says the incident is highly regrettable.
- 28 Apr 2024 - The houses are deemed cheaper and faster to build as well as being environment friendly.
- 28 Apr 2024 - Police have warned that the death toll is set to increase as the rains intensify