- 375 views
Mbunge wa Emuhaya Omboko Milemba alijipata taabani baada ya matamshi yake katika hafla ya michezo ya muungano ya walimu wa shule za upili KUPETT kaunti ya Homa-Bay. Zogo lilianza wakati mbunge huyo alijitambulisha na kusema alipga kura kuunga mkono mswada wa fedha katika bunge la kitaifa. Ni msimamo uliowaghadhabisha zaidi ya walimu 300 waliokuwa wakishiriki michezo hiyo na kumuamrisha aondoke. Licha ya Katibu Mkuu wa KUPPET Akello Misori kuwasihi walimu kuwa na subira, walimu hawa walisimama na azma yao wakisema mswada huo ni hatari kwao.
Mbunge Milemba wa Emuhaya afurushwa kwenye hafla baada ya kukiri kuunga mkono mswada wa fedha 2023
- - Duniani Leo ››
- 11 Aug 2025 - President Donald Trump said Sunday that homeless people must be moved "far" from Washington, after days of musing about taking federal control of the US capital where he has falsely suggested crime is rising.
- 11 Aug 2025 - A man has survived clinging to the outside of an Austrian high-speed train, Austria's state railway said Sunday, reportedly after it left whilst he was having a cigarette break.
- 11 Aug 2025 - A heavy cloud hangs over Kotombo village in Nyakach, Kisumu County. Grief-struck residents walk from house to house, condoling with those in mourning, their faces showing the agony of the calamity that befell two clans in this village.
- - Ugandan soft ground where men and women wrestle in mud
- 11 Aug 2025 - Nairobi Hospital in battle for survival as creditor in court seeking liquidation
- 11 Aug 2025 - Chirchir urges MPs to back proposed road tolling policy
- 11 Aug 2025 - Gachagua, Ruto and Uhuru face crucial Mt Kenya by-election test
- 11 Aug 2025 - Wild cheers, wild bites: Football meets game meat in Dar es Salaam
- 11 Aug 2025 - National Police Service to hire after 3-year freeze
- 11 Aug 2025 - Road to Tokyo: Kenyan stars will be facing stern test