Skip to main content
Skip to main content

Mbunge wa Turkana Kaskazini amechaguliwa mwenyekiti

  • | Citizen TV
    481 views
    Duration: 1:18
    Mbunge wa Turkana Kaskazini Shariff Ekuwom Nabuin amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama cha ODM kwenye kaunti ya Turkana katika chaguzi za mashinani za chama hicho kilichofanyika Lodwar.