- 411 views
Kikosi cha usalama kimekuwa kikifanya operesheni ya kurejesha mbuzi walioibwa katika kijiji cha Loikas, mjini Maralal. Hamsini kati ya mbuzi 308 walioibwa mwezi jana wamepatikana. Wafugaji eneo hilo wanaitaka serikali kuimarisha usalama ili kuzuia visa vya wizi wa mifugo kwani vinawasababishia hasara kubwa. Oparesheni hiyo inaongozwa na Naibu Kamishna wa Kaunti ya Samburu Titus Omanyi. Polisi wanasema kuwa wanazidi kufuatilia kisa hicho ili kuwarejesha mifugo wote walioibiwa.
Mbuzi 50 kati ya 380 walioibiwa warudishwa Maralal
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 19 Apr 2024 - Kenyans applying for passports will effective May 1, 2024 acquire the travel documents within 21 days of application, Interior Cabinet Secretary Prof. Kithure Kindiki has revealed.
- 19 Apr 2024 - The official opening of the Ksh.9.6 billion Bunge Tower which was initially set for Friday has now been postponed to next week.
- 19 Apr 2024 - National and world leaders have since sent their heart-felt messages of condolence to the family of the late General.
- 19 Apr 2024 - President William Ruto in April last year promoted General Ogolla to the rank of General and named him the Kenya Defence Forces (KDF) boss.
- 19 Apr 2024 - Former President Uhuru Kenyatta has mourned the passing of Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Ogolla who was killed in a helicopter crash in Elgeyo Marakwet on Thursday.
- 19 Apr 2024 - Moi daughter laid to rest, family eulogises her as generous and charming
- 19 Apr 2024 - Puzzle of 5 helicopter crashes in 12 months
- 19 Apr 2024 - Ruto, Uhuru mourn CDF General Francis Ogolla
- 19 Apr 2024 - General Ogolla had a myriad of activities on Thursday, where he had traversed four counties to visit troops deployed in the North Rift and to inspect ongoing school renovation works before the fatal crash.
- 19 Apr 2024 - Owalo while sharing his condolence message said they engaged hours before the crash.