- 26 views
Boniface Mwangi Kariuki ambaye ni mchuuzi wa barakoa mwenye umri wa miaka-22 aliyepigwa risasi mnamo tarehe 17 mwezi huu wakati wa maandamano yaliyofanyika jijini Nairob, ameaga dunia. Kulingana na Jonah Kariuki Nyambura, mwanawe wa kiume alifariki mapema leo mwendo wa saa tisa na dakika kumi na tano alasiri. Marehemu alikuwa amelazwa kwenye wodi ya wagonjwa mahututi katika hospitali ya kitaifa ya Kenyatta tangu tarehe 17 mwezi huu, baada ya kupigwa risasi jijini Nairobi. Wakati wa kulazwa kwake hospitalini humo, gharama ya matibabu ya Kariuki ilikuwa imefikia shilingi milioni-3.6 ,fedha ambazo familia hiyo imesema haiwezi kumudu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mchuuzi wa barakoa aliyepigwa risasi na polisi Nairobi aaga dunia
- 1 Jul 2025 - The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
- 1 Jul 2025 - The decision, made amid mounting public pressure on the state's response to the unrest, was confirmed in a statement issued Monday by Health Cabinet Secretary Aden Duale.
- 1 Jul 2025 - The autopsies, conducted at Kilome MNH Hospital Mortuary, revealed that Garson Mutisya, 33, and Makau Mualuko, 23, sustained fatal gunshot wounds to the chest, with the bullets exiting through their backs.
- 1 Jul 2025 - A 92-year-old British man was convicted on Monday for a rape and murder committed nearly 60 years ago, in one of the UK's longest-running cold cases.
- 1 Jul 2025 - System failure? Gen Z hit reboot and reset to politics without politicians
- 1 Jul 2025 - OCS Talaam, Mukhwana lose bid to block Ojwang' murder trial
- 1 Jul 2025 - Measles, typhoid outbreaks spur vaccination drive
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU
- 1 Jul 2025 - Isiolo governor's impeachment escalates to full Senate plenary
- 1 Jul 2025 - For Nairobi United to rise, mighty Gor Mahia had to fall