Meli iliyobeba mapipa milioni 1 yaokolewa baada ya kushambuliwa na Wahouthi
Meli ya mafuta ambayo ilikuwa ikiungua kwa wiki kadhaa katika Bahari ya Sham baada ya kushambuliwa na waasi wa Wahouthi wa Yemen, na kutishia kumwagika kwa mafuta imeokolewa, kampuni ya ulinzi imesema Ijumaa.
Meli hiyo Sounion ilikuwa ni maafa yanayo subiriwa kwa katika mkondo huo wa maji, huku ikiwa na mapipa milioni 1 ya mafuta ghafi ambayo ilishambuliwa na baadaye kuharibiwa kwa vilipuzi vilivyotumiwa na Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran ikiwa ni sehemu ya kampeni yao juu ya vita vya Israel na Hamas huko Ukanda wa Gaza.
Ilichukua miezi kadhaa kwa waokoaji kuweza kuivuta meli hiyo, kuzima mioto na kushusha mafuta ghafi yaliyobaki..
“Mapema Oktoba, meli hiyo ilivutwa hadi upande wa kaskazini wa mfereji wa Suez ili kupakua mizigo, ambapo hivi sasa zoezi hilo limekamilika.”
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilionya kuwa kuvuja kwa mafuta kutoka katika meli hiyo ya Sounion kungeweza kuwa “mara nne kwa ukubwa wa maafa ya Exxon Valdez” yaliyotokea mwaka 1989 nje ya pwani ya Alaska.
Hakuna maelezo yoyote ya mara moja kutoka kwa Wahouthi, ambao wamekuwa wakiushikilia mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa zaidi ya muongo mmoja na wamekuwa wakipigana na ushirika wa unaongozwa na Saudi Arabia ambao unaiunga mkono serikali iliyo uhamishoni kwa muda mrefu. - AP
#wahouthi #meli #mafuta #bahariyasham #yemen
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
16 Jun 2025
- The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.
16 Jun 2025
- The late Albert Ojwang's father revealed details of a phone conversation with the president.
17 Jun 2025
- Someone within government circles labelled him a prime suspect at a meeting of top officials.
17 Jun 2025
- The plastic waste menace birthed the idea to produce fuel from plastics, he says
17 Jun 2025
- According to United Nations Population Fund, persons with disabilities make up 2.2 per cent of the population — about 900,000 people.
17 Jun 2025
- The actual figure may be higher, as some counties did not disclose their borrowing
17 Jun 2025
- Imlu says underlying bad blood where NPS officers have reportedly refused to cooperate could stall investigations.
17 Jun 2025
- The appellate court agreed that this crucial detail had been ignored.
17 Jun 2025
- Thousands of civil servants serving in positions of directors and above have been left in utter shock after the government set standards that require them to have Master’s Degrees. The Public Service Commission (PSC) has sent shockwaves through the…
17 Jun 2025
- Last week’s high-level meeting in Changsha between China’s top diplomat Wang Yi and representatives from 53 African countries sent a powerful and optimistic message: China is moving with clarity and purpose to implement the 10-point action plan unveiled…
17 Jun 2025
- Christine Riaro and her all-star team of Tabitha Ojwang, Joyce Osike and Griffins Owino extended their dominance a the 12th leg of the KCB East Africa Golf Tour at Nyanza Golf Club, sealing a third consecutive victory at the Nyanza leg with a combined…
17 Jun 2025
- A 35-year-old fisherman died in a police holding cell at Kipasi Police Post in Suba North Constituency, Homa Bay County, raising fresh concerns over the security of individuals being detained in police custody. The incident comes after the controversial…