Meli iliyobeba mapipa milioni 1 yaokolewa baada ya kushambuliwa na Wahouthi
Meli ya mafuta ambayo ilikuwa ikiungua kwa wiki kadhaa katika Bahari ya Sham baada ya kushambuliwa na waasi wa Wahouthi wa Yemen, na kutishia kumwagika kwa mafuta imeokolewa, kampuni ya ulinzi imesema Ijumaa.
Meli hiyo Sounion ilikuwa ni maafa yanayo subiriwa kwa katika mkondo huo wa maji, huku ikiwa na mapipa milioni 1 ya mafuta ghafi ambayo ilishambuliwa na baadaye kuharibiwa kwa vilipuzi vilivyotumiwa na Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran ikiwa ni sehemu ya kampeni yao juu ya vita vya Israel na Hamas huko Ukanda wa Gaza.
Ilichukua miezi kadhaa kwa waokoaji kuweza kuivuta meli hiyo, kuzima mioto na kushusha mafuta ghafi yaliyobaki..
“Mapema Oktoba, meli hiyo ilivutwa hadi upande wa kaskazini wa mfereji wa Suez ili kupakua mizigo, ambapo hivi sasa zoezi hilo limekamilika.”
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilionya kuwa kuvuja kwa mafuta kutoka katika meli hiyo ya Sounion kungeweza kuwa “mara nne kwa ukubwa wa maafa ya Exxon Valdez” yaliyotokea mwaka 1989 nje ya pwani ya Alaska.
Hakuna maelezo yoyote ya mara moja kutoka kwa Wahouthi, ambao wamekuwa wakiushikilia mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa zaidi ya muongo mmoja na wamekuwa wakipigana na ushirika wa unaongozwa na Saudi Arabia ambao unaiunga mkono serikali iliyo uhamishoni kwa muda mrefu. - AP
#wahouthi #meli #mafuta #bahariyasham #yemen
18 Jul 2025
- Numerous Kenyans have come out to complain over being conned by the companies.
18 Jul 2025
- The Chinese and Kenya have enjoyed long, cordial relationships, but there is more to the story.
18 Jul 2025
- The recall comes just after the reconstitution of the IEBC, which is critical to the recall process.
19 Jul 2025
- Germany said Friday it had deported 81 Afghan men convicted of crimes to their Taliban-controlled homeland, as Chancellor Friedrich Merz's government looks to signal a hard line on immigration.
19 Jul 2025
- A 15-month-old baby has died in Belgium after being left inside a car on a warm summer day, authorities said on Friday.
19 Jul 2025
- In 2022, the Central Bank of Kenya (CBK) put in place regulations to govern digital borrowing and lending, in efforts to provide better guidelines and experiences for consumers.
19 Jul 2025
- The Umoja na Maendeleo Party (UMP) under the leadership of former Meru Governor Kawira Mwangaza has announced its participation in the upcoming by-elections across Kenya. This move marks a significant step in Mwangaza’s political comeback following her…
19 Jul 2025
- Human rights activists Boniface Mwangi and Agather Atuhaire, alongside seven civil society organisations, have filed a case before the East African Court of Justice.
19 Jul 2025
- The building of sports stadiums worth Ksh6.17 billion has stalled, a new audit report shows. The report by the Auditor General, Nancy Gathungu, said there is no value for money as the projects have remained incomplete for a long time. The stadiums in…
19 Jul 2025
- Wiper Party leader Kalonzo Musyoka has issued a response dismissing reports suggesting a possible merger between his party and President William Ruto’s United Democratic Alliance (UDA). In a Facebook post on Friday, July 18, 2025, Kalonzo, in a brief…
19 Jul 2025
- Orange Democratic Movement (ODM) Communications Director Philip Etale has thrown his weight behind the ongoing community-based security initiative dubbed Jukwaa la Usalama, emphasising the need to tackle insecurity from the grassroots level. In a…
19 Jul 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has issued fresh directives to police officers on the use of force and firearms, particularly during public protests.
19 Jul 2025
- Since his meteoric rise to the Mining, Blue Economy and Maritime Affairs Cabinet Secretary position, Hassan Joho has increasingly asserted himself in Coast politics, rekindling a political presence that had momentarily dimmed. Political observers say…