Meli iliyobeba mapipa milioni 1 yaokolewa baada ya kushambuliwa na Wahouthi
Meli ya mafuta ambayo ilikuwa ikiungua kwa wiki kadhaa katika Bahari ya Sham baada ya kushambuliwa na waasi wa Wahouthi wa Yemen, na kutishia kumwagika kwa mafuta imeokolewa, kampuni ya ulinzi imesema Ijumaa.
Meli hiyo Sounion ilikuwa ni maafa yanayo subiriwa kwa katika mkondo huo wa maji, huku ikiwa na mapipa milioni 1 ya mafuta ghafi ambayo ilishambuliwa na baadaye kuharibiwa kwa vilipuzi vilivyotumiwa na Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran ikiwa ni sehemu ya kampeni yao juu ya vita vya Israel na Hamas huko Ukanda wa Gaza.
Ilichukua miezi kadhaa kwa waokoaji kuweza kuivuta meli hiyo, kuzima mioto na kushusha mafuta ghafi yaliyobaki..
“Mapema Oktoba, meli hiyo ilivutwa hadi upande wa kaskazini wa mfereji wa Suez ili kupakua mizigo, ambapo hivi sasa zoezi hilo limekamilika.”
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilionya kuwa kuvuja kwa mafuta kutoka katika meli hiyo ya Sounion kungeweza kuwa “mara nne kwa ukubwa wa maafa ya Exxon Valdez” yaliyotokea mwaka 1989 nje ya pwani ya Alaska.
Hakuna maelezo yoyote ya mara moja kutoka kwa Wahouthi, ambao wamekuwa wakiushikilia mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa zaidi ya muongo mmoja na wamekuwa wakipigana na ushirika wa unaongozwa na Saudi Arabia ambao unaiunga mkono serikali iliyo uhamishoni kwa muda mrefu. - AP
#wahouthi #meli #mafuta #bahariyasham #yemen
8 Feb 2025
- High temperatures will remain constant in most parts of the country, with some regions having highs of 38°C.
8 Feb 2025
- The NSSF Act is currently being implemented in phases following a court ruling that approved its hike.
8 Feb 2025
- Trump argued that USAID, the overseas aid agency, is not a valuable use of taxpayer money.
8 Feb 2025
- Outgoing Amani National Congress (ANC) officials have now told their party’s supporters not to be worried of the party folding to merge with President William Ruto's United Democratic Alliance (UDA
8 Feb 2025
- When Professor Abraham Kithure Kindiki took to the stage outside the Kenyatta International Convention Centre to take his oath of office as the third Deputy President of Kenya on November 1, 2024, the crowd erupted in cheers.
8 Feb 2025
- Leaders from Eastern and Southern African regional blocs gather in Tanzania on Saturday to seek a solution to the conflict in eastern Congo, where Rwandan-backed rebels have seized a major city in the worst escalation of fighting in more than a decade.
8 Feb 2025
- Canadian Prime Minister Justin Trudeau on Friday said U.S. President Donald Trump's talk about absorbing Canada "is a real thing" and is linked to the country's rich natural resources, a government source said.
8 Feb 2025
- International Criminal Court Prosecutor Karim Khan is the first person to be hit with economic and travel sanctions authorized by U.S. President Donald Trump that target the war crimes tribunal over investigations of U.S. citizens or U.S. allies, two…
8 Feb 2025
- Kindiki, the first high-ranking government official to visit Gachagua’s home county since the latter’s impeachment
8 Feb 2025
- Rwanda's President Paul Kagame was due to meet his Congolese counterpart Felix Tshisekedi in Tanzania on Saturday as regional leaders convene in a bid to defuse the conflict in Democratic Republic of Congo.
8 Feb 2025
- A grieving couple's nightmare deepens as their baby's body vanishes from a hospital morgue.
8 Feb 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has dismissed the High Court’s ruling on his dual role as Speaker and Ford Kenya party Leader, terming the decision as mere "ordinary comments" in law that are non-binding and have no practical effect.
8 Feb 2025
- When Kithure Kindiki joined President William Ruto's Cabinet in 2022 he wore a cloak of sanity, one that espoused a stark disdain for noisy and nosy politics. He manned the Interior Ministry as an equilibrist.