Mfalme Charles III agundulika na aina fulani ya saratani
Mfalme Charles III amegundulika kuwa ana aina fulani ya saratani na ameanza matibabu, Kasri ya Buckingham imesema Jumatatu.
Kasri hiyo inasema saratani hiyo haihusiani na matibabu ya karibuni ya tezi ambayo haikuwa saratani. Haikusema ni aina gani ya saratani mfalme huyo mwenye umri wa miaka 75 anayo.
Kasri ilisema “kulikuwa na hali ya wasiwasi iliyoelezwa” wakati wa matibabu ya Charles kwa kukua kwa tezi dume mwezi uliopita. “Uchunguzi wa matibabu umegundua aina ya saratani,” ilisema.
Ilisema Charles “ameendelea kuwa mwenye fikra chanya kuhusu matibabu yake na anatarajia kurudi kutekeleza majukumu yake kikamilifu haraka iwezekanavyo.
Kasri iliongeza kuwa mfalme “amechagua kuweka taarifa za ugonjwa wake wazi kuepusha watu kueneza uvumi na kwa matumaini inaweza kuusaidia umma kufahamu hali ya wote walioko ulimwenguni ambao wameathiriwa na saratani.
Charles alitawazwa kuwa mfalme Septemba 2022 wakati mama yake Malkia Elizabeth II alipofariki akiwa na umri wa miaka 96. -AP
#saratani #maradhi #mfalmecharlesIII #uingereza #buckinghampalace #voa #voaswahili
12 Aug 2025
- The government will also cover the medical expenses of all survivors.
12 Aug 2025
- The nominees will join several committees.
12 Aug 2025
- The Speaker has been on the detectives' radar.
12 Aug 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen now says no public servant should openly oppose the government of the day, warning that such conduct is both illegal and unconstitutional.
12 Aug 2025
- DAP-K leader Eugene Wamalwa now says there is a plan by President William Ruto to infiltrate the political outfit through frivolous petitions seeking a change in leadership.
12 Aug 2025
- Long-delayed road projects in northern Kenya are set to resume after years of inactivity, Deputy President Kithure Kindiki has said, citing a new funding approach that has brought contractors back to site.
12 Aug 2025
- A woman has been arrested in Bondeni, Nakuru County for allegedly supplying cannabis and cannabis-laced cookies to minors in what authorities describe as a deliberate attempt to lure children into drug abuse.
12 Aug 2025
- The National Police Service Commission (NPSC) is facing mounting internal tensions that threaten to derail the planned recruitment of 10,000 new police officers this September.
12 Aug 2025
- The government will also cover the medical expenses of all survivors.
12 Aug 2025
- The nominees will join several committees.
12 Aug 2025
- "Your energy has carried us this far, and we are loving every moment of it," Harambee Stars told Kenyans
12 Aug 2025
- The DP said the decision by President William Ruto remains in force and is meant to do away with past discriminatory tendencies targeting some communities.
12 Aug 2025
- The Speaker has been on the detectives' radar.