29 May 2026 2:10 pm | Citizen TV 1,170 views Duration: 1:27 Mfanyabiashara Joginder singh akamatwa na kufikishwa mahakamani Mombasa kwa kosa la kukosa kufika mahakamani kuhusu kesi inayohusu mzozo wa mali yenye thamani ya shilingi milioni 400.