- 430 viewsDuration: 1:52Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya, amesema kuwa kuchelewa kwa mgao wa fedha kutoka kwa serikali kuu kumeathiri pakubwa utoaji wa huduma muhimu za serikali za kaunti, ikiwemo kulipa mishahara ya wafanyakazi kwa wakati.