Mgogoro wa bahari ya Shamu unavyoathiri usafirishaji

  • | VOA Swahili
    308 views
    Hii leo tunaangazia mgogoro wa bahari ya Shamu unavyoathiri njia hiyo ya majini kutokana na wanamgambo wa Houthi kurusha makombora na ndege zisizo na rubani zinazolenga meli za kibiashara, Tunajiuliza kwa kiwango gani wafanyabiashara ukanda wa Afrika Mashariki wameathirika? #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.